The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
Kama ya wote kwanini kura za wanachama hazikuheshimiwa?JamiiForums ya watu wote. Ubaguzi sio tija.
Kama ya wote kwanini kura za wanachama hazikuheshimiwa?JamiiForums ya watu wote. Ubaguzi sio tija.
Nini maana ya mshindi wa 1-3?Ulipiga kwa zaidi ya mmoja? Kura inatakiwa iwe kwa mtu mmoja tu.
Haupigi kura peke yako. Mnaopiga mpo wengi sana. Kila mtu apige kwa anayeona anafaa.. Utapata wa 1-3.Nini maana ya mshindi wa 1-3?
Huyu naye alikuwa mojawapo wa washindi piaHizi zawadi nina wasiwasi nazo
Mshindi wa pili kashinda zawadi huku toka mwezi July alipoandika mada yake mpaka siku ya Kutangazwa mshindi akiwa amepata kura 2 tu...
Not sure. Hizi hazikuwa na limit.Haupigi kura peke yako. Mnaopiga mpo wengi sana. Kila mtu apige kwa anayeona anafaa.. Utapata wa 1-3.
Ndiyo maana yule bwana amepata 1k+ na hajashinda.. Cz kuna risk ya mtu mmoja kufungua accounts zaidi ya 10 jf na kujipigia..🤔🤔🤔Not sure. Hizi hazikuwa na limit.
Sasa hilo andiko linasaidiaje kubadili maisha ya watu?.Huyu naye alikuwa mojawapo wa washindi pia
nawe ulishiriki best au ? ila nimekumiss kweli bestitoMwakani July
hahhaaaaaaaaaaaaaaaaaa naona umefunguka zaidi bestitoMkuu Max and co, mtu wa kwanza kupata votes nyingi awe immune, namaanisha aende moja kwa moja kwenye final. Shindano lilikua gumu na wengi wameambulia 0 vote...
Yule mzee lakini alikuwaga anaandika sana kuhusu historia ya Tanganyika na Zanzibar! Anastahili, labda chuki binafsi!M Said ana uandishi gani wenye tija !? Mnajiangusha
Kwani JF ina platforms ngapi? Na kila mtu si ana vipaumbele vyake humu JF?Kuna vilaza hawakujua hili shindano hadi limeisha na wapo humuhumu
Huyu bwana anaandika hata mtoto wa darasa la pili anaweza kuelewa concept yake.bila shaka mkuu, hawa watu wana uwezo wa kipekee sana
kuna mwingine anaitwa Humble African naye anajua sana.
sijashangazwa na ulichaandika... Ila nimeshangaa like ya P Mayalla du! !Muefeso roho korosho
Yaani Unaona mzee kapata saana!
Acheni viti moto. Roho zenu zitazidi kutu
Ndio MkuuAbrianna ndiye Golder Mmari?
Sasa hilo andiko linasaidiaje kubadili maisha ya watu?.
Naona wamempa tu, lakini andiko halina substance, ni story tu!