uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,664
- 26,395
Kuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hii imekaaje wadau?
Hata akiwekwa Babu Tale ni sawa, maana ukishakaa pale wana press reset button, huwezi tumia akili yako tena.