Wajua siku hizi Asprin ukaguzi wake unachukua muda mpaka watia shaka... Blaki Womani soon utamsikia nilieamua kumkabidhi moyo wangu rasmi...
Hivi wewe Mr Rocky dada yangu Dena Amsi unakosa nini kwake mpaka uanze kutanga tanga mpaka uanze kumzengea snowhite...
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
aka babu !mi nataka kumwagiwa maji ya moto mtoto mbichi namna hii!lol!
mwali we wajua mi navokuaminia pande hizo za ufanyakazi bora!
ILA TU KWENYE ILE MBESA SASA!UUUWIH zitakukoma!
mi nakutizama tu hapa!
Mungu mkubwa mimi na mpenzi wangu nivea naona mwaka tumeuanza vizuri baada ya kumtaliki Preta ila nakushukuru Baba V kwakutaja wasifu wa Vin Diesel ila sasa sijui kwanini vyombo vya dola havifanyi kazi yake au kavishika nakuviweka kwenye mfuko wake?
ahahahhahahhahahhahahhahUsitizame tizame tuu we angalia proposal yangu hapo juu inakuja na funguo za vogue mpya na cheque ya milioni moja snowhite
ngoja nimpm kwanza tuone. miaumeona enh!!!!!!!!!!!!!!
ila sasa mwali mbona bandiko lako sifa za kijana unayemtaka ni kama za figganigga?? na zake alizozitoa nia kama zakao?? fanyeni cross multiplication basi
mwali sikuja kusuka shanga mjini hapa, manake kama ni hivyo bora ningebaki kwetu kuchuma kahawa na kufagia samadi.
hapa natafuta ngawira aka elerii aka kisu aka majani aka mkwanja aka mate aka chapaa aka mshiko aka yuda ..................
wewe, mambo ya dada yako hutakiwi kuyaskiliza sawa??
haya ondoka upesi rudi ndani naongea na wageni eboh!!!
wadogo wa siku hizi wamezibuka kuliko kawaida. mtawafanya dada zenu wasiolewe atii.
ngoja nimpm kwanza tuone. mia
Kimya kimya bana we mpaka urudie mara mbili mbili kama matangazo ya vifo snowhite
hiyo ndo manaaaake bana!
chapaa ndo mpngo mzima my wee mwali wangu mkuu!mh mbna una vyeo vingi hiv mpenzi?
hata wenyeji wapo jimwage na watalikiwa pia