Star TV mbona mnakatisha matangazo ya BBC Dira ya Dunia?

Hapo ndipo utajua kama utawala wa awamu hii ni wa kutupeleka kwenye nuru au gizani.

Rais Magufuli atakumbukwa kwa jitihada za kuipeleka Tanzania kwenye giza nene.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…