Squid Game imesukwa haswa

Wee utakua uliangalia ukiwa una sinzia aki.jamaa alichukua begi akajaza hela akaenda kumchukua yule mdogo ake na yule demu alichomwa na chupa akampeleka kwa mama ake au unamaanisha nini unaposema jamaa hakuchukua hela au mama yake hakufaidi?na wakati alipanda hadi ndege kwenda kumfuata mtoto ake marekani.

Na ndege hakupanda baada kupiga simu kwenye ile card aliyochukua kwa dogo ,kawachimba biti wale jamaa front man kamwbia kapande ndege jamaa na safari ikaisha pale
 
Alitumia muda gani kuzitoa pesa zake? Hukuona hadi Bank walimuita kumuomba afungue miradi sababu pesa zimekaa mwaka mzima na bado hakujibu kitu zaidi alimuomba yule manager hela ya nauli,

Mama yake!!! Hukuona aliporudi mama yake alimkuta amefia ndani? Yule Mama ni wa yule jamaa yake aliyebaki nae kwenye game hadi akajiua ndo alimuomba amuangalie mama yake,

Alipoonana na yule mzee na kumjua kua ndie Mastermind wa ile michezo hatari ndio akajiapiza kulimaliza lile genge lao, hakupanda ndege alirudi baada ya kumsaidia yule jamaa aliyekua anarubuniwa kama yeye kwenye ile station akachukua kadi akaipiga ile namba Front Man akapokea na kumsihi apande ndege lakini hakupanda akaondoka ndio ikaishia hapo,

Nyie ndo mnaangalia yale mamovie ya kutafsiriwa na Dj Mac basi mnajikuta wajaaaanja wakati mnadanganywa.
kitendo cha jamaa kuonekana airport anataka kwenda usa ni wazi kwamba hela aliamua kuzitumia kwasababu bila zile hela hakuwa hata na nauli tu ya kupanda bus mjini hivyo safari ya usa asingeweza hata hivyo alighairi safarii baada ya kujua jamaa bado wanaendelea na ile game
 
Alitumia muda gani kuzitoa pesa zake? Hukuona hadi Bank walimuita kumuomba afungue miradi sababu pesa zimekaa mwaka mzima na bado hakujibu kitu zaidi alimuomba yule manager hela ya nauli,

Mama yake!!! Hukuona aliporudi mama yake alimkuta amefia ndani? Yule Mama ni wa yule jamaa yake aliyebaki nae kwenye game hadi akajiua ndo alimuomba amuangalie mama yake,

Alipoonana na yule mzee na kumjua kua ndie Mastermind wa ile michezo hatari ndio akajiapiza kulimaliza lile genge lao, hakupanda ndege alirudi baada ya kumsaidia yule jamaa aliyekua anarubuniwa kama yeye kwenye ile station akachukua kadi akaipiga ile namba Front Man akapokea na kumsihi apande ndege lakini hakupanda akaondoka ndio ikaishia hapo,

Nyie ndo mnaangalia yale mamovie ya kutafsiriwa na Dj Mac basi mnajikuta wajaaaanja wakati mnadanganywa.
wazee wa kuskip hao wanatafuta scene za mkono na kugegeda ndo maana hawaelewi chochote

Gi hun ameghairi anarudi tena kwenye game lets the play the game
 
Alitumia muda gani kuzitoa pesa zake? Hukuona hadi Bank walimuita kumuomba afungue miradi sababu pesa zimekaa mwaka mzima na bado hakujibu kitu zaidi alimuomba yule manager hela ya nauli,

Mama yake!!! Hukuona aliporudi mama yake alimkuta amefia ndani? Yule Mama ni wa yule jamaa yake aliyebaki nae kwenye game hadi akajiua ndo alimuomba amuangalie mama yake,

Alipoonana na yule mzee na kumjua kua ndie Mastermind wa ile michezo hatari ndio akajiapiza kulimaliza lile genge lao, hakupanda ndege alirudi baada ya kumsaidia yule jamaa aliyekua anarubuniwa kama yeye kwenye ile station akachukua kadi akaipiga ile namba Front Man akapokea na kumsihi apande ndege lakini hakupanda akaondoka ndio ikaishia hapo,

Nyie ndo mnaangalia yale mamovie ya kutafsiriwa na Dj Mac basi mnajikuta wajaaaanja wakati mnadanganywa.
uko vzuri...ww umenipa mood ya kucheki yani nimeidownload ila ipo tuu
 
kuna scene unatakiwa uchaguwe shape lakin ujui nini kinafuata baada ya uchaguzi huo sasa gi hun akachagua shape ya mwamvuli alafu akapewa kikake na sindano yaan achonge itoke iyo shape ya mwamvuli ukikosea unatwanga risasi alafu unakuja unapiga kelele money echi echi
Na huyu jamaa angekuwa mshiriki angefia kwenye game ya kwanza tuu
 
kuna scene unatakiwa uchaguwe shape lakin ujui nini kinafuata baada ya uchaguzi huo sasa gi hun akachagua shape ya mwamvuli alafu akapewa kikake na sindano yaan achonge itoke iyo shape ya mwamvuli ukikosea unatwanga risasi alafu unakuja unapiga kelele money echi echi
😆 😆 hapo angekua professor angekuja hadi na plan Z
ya kuchonga hako kamwamvuli
 
Naipa 3/10
Imechorwa kinadharia mno, haikuenda kwenye uhalisia, main character, hakuwa ameandaliwa vzr, haendani na matukio, ukiangalia washiriki wote wakiomo wanakufa tu Tena ktk mchezo ambao hata hauleweki,

Ufundi pia haukutumika vzr, yaan police anakuja mpka anaingia ndani kwenye jumba, pamoja na technology wanashindwa kubaini, bado police katuma ujumbe toka anakwenda mpka anafika, halafu mtu aliepigiwa simu anamuuliza eti tumekuwa tunakutafuta...

Kibaya zaidi, jamaa mwishoni anamkamata, halafu anakwambia hakuna network wakati mda mchache ametoka kuongea na sim..

Kimsing, hii series ipo chin ya kiwango maana inamauaji ambayo hayana uhalisia, kwangu mm Ni poor... 3/10
duh! we kamcheki tu professor

kwa upande wangu naona main character kaipatia na anaendana na uhalisia
sababu sehemu nyingine inaonekana anabahatika tu, sio mtu anaejua kila tukio linalo kuja mbele
( sio lazima main character awe na minguvu mingi na miakili mingi kama ilivo zoeleka)

ile ndo michezo yao waliokua wanacheza utotoni
usihofu season 2 wataweka kombolela na kidali ili uelewe vizuri

we hujawai piga simu wakati unaharaka ya kitu alafu mtu anakuletea story nyingine?
sasa ndo pale mwamba anapiga simu alaf jamaa anamwambia tulikua tunakutafuta

we huoni pale zile video nyingine alizo tuma zimegoma
( kunatofauti kati ya kupiga simu na kutuma video kimtandao)

hujaitendea haki kabisa hii series 10/10 inastahili bila ubishi
 
Wee utakua uliangalia ukiwa una sinzia aki.jamaa alichukua begi akajaza hela akaenda kumchukua yule mdogo ake na yule demu alichomwa na chupa akampeleka kwa mama ake au unamaanisha nini unaposema jamaa hakuchukua hela au mama yake hakufaidi?na wakati alipanda hadi ndege kwenda kumfuata mtoto ake marekani.

Nadhani wewe ndio ulikuwa unasinzia maana yule kaka alikuta mama yake amekufa na yule mtoto alimpeleka kwa mama wa rafiki yake yule aliyekufa kwenye game, na alifanya hayo baada ya mwaka mzima kupita
 
Mm sijaelewa song woo alimdanganya nn Ali Abdul mpaka ikawa vile
Alimwambia asijali wamechaguliwa ili wawe timu moja ko wasubiri wasicheze kwanza mpaka muda uishe. Muda ukiisha na wakiwa hawajacheza au hakuna alochukua golori za mwenzie basi itaamriwa wacheze timu yao na hizo nyingine ambazo pia mahindi hajapatikana. Alii akaingia kingi then mchizi akamwambia basi we shika hizi golori( akamwekea mawe 😂😂), uende ukatafute timu dhaifu yenye wazee wazee ili iwe rahisi sisi kupita.

Alii akaenda kweli bna, huku nyuma jamaa akaonesha golori zakd 10 akisema.
"Si mlisema kanuni ya mchezo ni kuchukua golori zote za mpinzani wako kwa njia yoyote bila violence, basi hizi apa".

Akapita huku nyuma Alii mbumbumbu akala ya kichwa.
 
Naipa 3/10
Imechorwa kinadharia mno, haikuenda kwenye uhalisia, main character, hakuwa ameandaliwa vzr, haendani na matukio, ukiangalia washiriki wote wakiomo wanakufa tu Tena ktk mchezo ambao hata hauleweki,

Ufundi pia haukutumika vzr, yaan police anakuja mpka anaingia ndani kwenye jumba, pamoja na technology wanashindwa kubaini, bado police katuma ujumbe toka anakwenda mpka anafika, halafu mtu aliepigiwa simu anamuuliza eti tumekuwa tunakutafuta...

Kibaya zaidi, jamaa mwishoni anamkamata, halafu anakwambia hakuna network wakati mda mchache ametoka kuongea na sim..

Kimsing, hii series ipo chin ya kiwango maana inamauaji ambayo hayana uhalisia, kwangu mm Ni poor... 3/10
Mkuu yuke main character hana ujuzi wowote wa kijasusi wala kupigana yani ni jamaa tu street guy wa kawaida kabis. Unaposema hakuandaliwa vizuri unakossa yani vile kuonekana kutoandaliwa ndo kuandaliwa kwenyewe sasa. Anapita kwa bahati tu na sometines kilichokua kinambeba ni namba yake, mahusiano yake mazuri na watu( yule mzee).

Na yule askari angejulikanaje mkuu wakati uingiaji wake , aliingia kama wale masupervisor wengine. Na ni rahisi kucope up coz mko wengi ni kuwafata tu wenzio wanachofanya na wewe unafanya.

Tatizo wengi mshazoea main character(s) anakua na maajabu, anakua na miguvu isiyomithirika, jasusi la hatari.
Nadhani season 2 itakua hivo unavotaka mkuu.
 
hii movie ni utopolo tu nilimaliza bundle langu bure, mtu aliyeangalia prison break ,breaking bad, IRIS ,Athena hawezi kusifia huu utopolo
Breaking bad ni my favorite ya muda woote...
Back in days kipindi ushoga haujaanza kuingizwa kwenye series...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom