Richmoto Kushmoto
JF-Expert Member
- Jan 18, 2021
- 549
- 557
- Thread starter
- #21
asee kwangu naipa rate 6/10 haifikii KWA SQUID GAMEKuna tofauti kubwa Sana Kati ya squid game na money heist.! Squid imegusa sana hisia/maisha yetu tunayoishi wameonesha nguvu halisi ya pesa kitu ambacho kwenye money heist hakipo na pia money heist Ile Ni plan kitu wanachokifanya ni utekelezaji tu kwa hiyo msije mkalinganisha kitu ambacho kimepangwa na mtu alikaa chini akafikiria Ile Ni game tu Ila ugumu upo kwenye uchezaji Cha muhimu usivunue sheria
Kwanguu Mimi money Ni best Aisee ina kila kitu mapenzi,usaliti,pesa na akili ya Hali ya juu