Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,943
- 6,863
Spika wa bunge akihitimisha bunge jioni hii amesema kuwa wabunge watoro wote warudishe pesa walizolipwa kwa ajili ya kuwatumikia wananchi ambazo ni kuanzia tarehe 1 Mei mpaka 17 Mei, vinginevyo hawatapokelewa bungeni baada ya wiki mbili ambazo wanadai wapo quarantine
Angenyamaza tu. Anaonekana vindictive tu.
Amandla....