Kweli tunapitaWana hasira na nao ,ukiona mtoto mpendwa wa Dar ameongea ujue na baba ana same maagizo duuu Dunia tunapita eeeee
Kweli tunapitaWana hasira na nao ,ukiona mtoto mpendwa wa Dar ameongea ujue na baba ana same maagizo duuu Dunia tunapita eeeee
kwa hio waliwalipa kabla?Ya kujipatia hela kwa njia ya Udanganyifu
Karantini ipo kwa mujibu wa utaratibu.Wao wabunge kama walipokea advance huku wakijua wameenda nje basi warudishe maana attendance yao haisomi bungeni
Bungeni sio kwa Mganga pesa zirudi
Hapo penye advance.... !!!!Anatumia sheria/kanuni gani kukataa kuwapokea iwapo watarudi Bungeni?
Na kwanini wanawalipana in advance?
Je,ni wabunge wangapi watakuwa wamelipwa kwa style hii na baadae kutohudhuria Bungeni kwa siku za nyuma?
All in all,turudishe na yale mamilioni yaliyotumika kwa matibabu huko India.
Kwanini wamepewa posho ya kikao kabla ya kumaliza kikao?Ya kujipatia hela kwa njia ya Udanganyifu
Na wewe ulitakiwa uhoji kwa nini wanalipana in advanceYuko sahihi. Hawapaswi kulipwa posho Wakati hawako kazini otherwise utakuwa Ni wizi wa Mali ya umma. Nashauri Pesa watakayorudisha itumike kununulia PPE.
Ndio maana yakeSpika wa bunge akihitimisha bunge jioni hii amesema kuwa wabunge watoro wote warudishe pesa walizolipwa kwa ajili ya kuwatumikia wananchi ambazo ni kuanzia tarehe 1 Mei mpaka 17 Mei, vinginevyo hawatapokelewa bungeni baada ya wiki mbili ambazo wanadai wapo quarantine
Hao wa CCM hata kama hawapo sio shida. Tatizo ni hawa wapinzaniNdungai ndiye mpumbavu unawalipaje pesa watu hawajafanya kazi pumbavu kabisa halafu kuna mbunge wa ccm mwingine tupo naye jimboni uku sijui na yeye yupo kwenye hesabu
Kuna Rais anazagaa zagaa Geita. Nasubiri tangazo la Mkuu wa mkoa wa Geita kutoa masaa 24 kwa wazurulaji huko Geita warudi ofisini.Spika wa bunge akihitimisha bunge jioni hii amesema kuwa wabunge watoro wote warudishe pesa walizolipwa kwa ajili ya kuwatumikia wananchi ambazo ni kuanzia tarehe 1 Mei mpaka 17 Mei, vinginevyo hawatapokelewa bungeni baada ya wiki mbili ambazo wanadai wapo quarantine
Yap wametokomea na pesa .Walivyojua wamelipwa wakapata nguvu ya kutokuingia Bungeni
Anatekeleza maagizo ya mgonjwa mwenziwe aliyeko ChatoSpika wa bunge akihitimisha bunge jioni hii amesema kuwa wabunge watoro wote warudishe pesa walizolipwa kwa ajili ya kuwatumikia wananchi ambazo ni kuanzia tarehe 1 Mei mpaka 17 Mei, vinginevyo hawatapokelewa bungeni baada ya wiki mbili ambazo wanadai wapo quarantine