Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 3,896
- 5,350
Mimi sio mwanasiasa,kama wangepita wao kwenye majimbo hawa viongozi wa Chadema yasingetokea haya!Katiba mpya ndo mwarobaini.TLS na mzee Warioba na Jenerali Ulimwengu nyie ni wabobezi wa sheria inakuwaje mnakaa kimya kuona chombo muhimu kama bunge linachezewa na mtu mmoja tu. Hili sakata la kufukuzwa uanachama wabunge 19 wa Ndugai ndani ya CHADEMA linapoteza kbs umuhimu wa kufuata sheria na katiba...