cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,683
- 137,424
Ufafanuzi mzuri huu...mara ya kwanza Lissu alikuwa mbunge lakini halmashauri ilibaki na ccm.
..safari ya pili alishinda ubunge na halmashauri, lakini akachezea marisasi miaka miwili baada ya kuchaguliwa.
..pia huyu mbunge wa sasa wa ndiye alikuwa mkuu wa wilaya lilipo jimbo la Lissu. kwa hiyo sidhani kama unaweza kumhoji mbunge bila kumhoji mkuu wa wilaya.
..mbunge ni mtunga sheria, hivyo anaweza kuhojiwa kuhusu michango na hoja zake bungeni. je michango ya mbunge imekuwa na faida gani ktk kutunga sheria zinazogusa maisha ya wananchi?
..jambo lingine ni kuhusu FEDHA ZA MFUKO WA MAENDELEO YA JIMBO hilo ni suala ambalo mbunge anaweza kuulizwa jinsi alivyo-influence matumizi ya fedha hizo.
..mambo mengine kuhusu miradi ya maendeleo hayo huwa ni masuala ya mipango ya SERIKALI KUU. Wabunge wana nafasi ndogo sana ktk ku-influence mipango ya serikali. Mara nyingi miradi hutekelezwa mahali fulani na mbunge huchukua credit kama bahati tu iliyomuangukia kwamba mradi fulani umetekelezwa wakati wa kipindi chake cha ubunge.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app