johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,834
- 141,755
Spika Ndugai ameshauri kamati ya bunge ya sheria kuangalia upya sheria za adhabu kwa sababu huko duniani vifungo vya miaka 10, 15 20 wameshaachana nazo kwa sababu dunia inakwenda kasi sana.
Ndugai amesema kwa kasi ya sasa ya dunia kifungo cha mwaka mmoja kinatosha kabisa kumrekebisha mtu.
Chanzo: ITV habari
Ndugai amesema kwa kasi ya sasa ya dunia kifungo cha mwaka mmoja kinatosha kabisa kumrekebisha mtu.
Chanzo: ITV habari