Kwa bahati mbaya sana uchaguzi mkuu wa October 2020 haukutengeneza Bunge imara!! tuna Bunge dhaifu yawezekana tangu tupate Uhuru wetu 1961 hili ndiyo bunge kiboko ya udhaifu, kiasi hata wananchi hawana hamu ya kulifuatilia maana yanayoongelewa ni yale yale!! Kizuri zaidi Spika na yeye ndiyo anachagiza liwe dhaifu zaidi.