Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,227
Ben,
Wewe mwenyewe unahitaji kuanza "English Course" haraka sana!
Duh,ha ha ha.Baba_Enock.na wewe umeona eeh!! Refer post yangu hapo juu
Ben,
Wewe mwenyewe unahitaji kuanza "English Course" haraka sana!
Ni upumbavu kuwafunga watu midomo eti kwa sababu tu hawajui lugha fulani. Ni watu wajinga tu ndo wanaoweza kupitisha sheria inayosema lugha ya mawasiliano iwe lugha wasiyoijua. Kwa hili sishabikii. Narudia tena kusema, ili Tanzania iendelee tunahitajia Kiswahili na lugha nyingine za makabila tu! Ni upuuzi kulazimisha tuongee Kiingereza wakati watu waliopo kilomita 20 kutoka Dodoma mjini hawaelewi Kiswahili chenyewe. Ni matumizi mabaya ya rasilimali za nchi kuwawakilisha watu kwa kuongea lugha wasiyoijua. Sioni mantiki yoyote. Mamikataba yote mabavu yametokana na vilaza wetu kutojua lugha ya Kiingereza.
Tujifunze kwa waarabu, mikataba kwa Kiarabu, mabunge yao wanaendesha kwa Kiarabu. Sisi Kiingereza, Kifaransa, Kireno, Kihispania. Ni aibu. Hatuna siri, hatuna utamaduni. Tunahaha tu. Narudia tena kuandika miswada, kuongea Kingereza bungeni, kuongea kiingereza kwenye mikutano ya kimataifa ni ukosefu wa akili!
Kwani Tundu yeye ana UDR?
it isn't.Wewe hata Lugha yako ya mama inakushinda/huelewi.Hili ni jukwaa la Siasa ambalo linajadili tatizo la lugha kwa wabunge wanaogombea nafasi za kutuwakilisha nje ya Tanzania
You just want to argue blindly, this is a chat-zone/forum, where people just use any slang and say anything
My friend, I seriously want you to re-think this analogy you are attempting to make.I am not talking about accent/speaking style - simply basic grammar and correct pronunciation. It isn't too much to ask, is it?
cHILDISH!Kilichotokea leo bungeni kwa Mh. Wenje kulazimishwa kufuta usemi wake kimemtia aibu sana mbunge huyu, kwani ameonekana ni mtu asiye na msimamo na ni muoga pale anapo kemewa, na hasa pale alipoambiwa kuwa atatolewa nje ya bunge, kama si hekima na busara za Zitto za kumuomba Mh. Spika amvumilie hakujua asemalo kwa kuita kikao cha kamati ya uongozi kilichokaa ni ‘black market' . Hii imemshushia sana hadhi yake !
Ni upumbavu kuwafunga watu midomo eti kwa sababu tu hawajui lugha fulani. Ni watu wajinga tu ndo wanaoweza kupitisha sheria inayosema lugha ya mawasiliano iwe lugha wasiyoijua. Kwa hili sishabikii. Narudia tena kusema, ili Tanzania iendelee tunahitajia Kiswahili na lugha nyingine za makabila tu! Ni upuuzi kulazimisha tuongee Kiingereza wakati watu waliopo kilomita 20 kutoka Dodoma mjini hawaelewi Kiswahili chenyewe. Ni matumizi mabaya ya rasilimali za nchi kuwawakilisha watu kwa kuongea lugha wasiyoijua. Sioni mantiki yoyote. Mamikataba yote mabavu yametokana na vilaza wetu kutojua lugha ya Kiingereza.
Tujifunze kwa waarabu, mikataba kwa Kiarabu, mabunge yao wanaendesha kwa Kiarabu. Sisi Kiingereza, Kifaransa, Kireno, Kihispania. Ni aibu. Hatuna siri, hatuna utamaduni. Tunahaha tu. Narudia tena kuandika miswada, kuongea Kingereza bungeni, kuongea kiingereza kwenye mikutano ya kimataifa ni ukosefu wa akili!
Jamani mnaofuatilia Bunge huyu mama Makinda analiongoza bunge kwa Kulazimisha hawezi.
cHILDISH!
Jivue Gamba wewe!
Naona tokea jana uko kwenye kazi maalum...Payroll inakaribia kutema nini?
cHILDISH!
Jivue Gamba wewe!
Naona tokea jana uko kwenye kazi maalum...Payroll inakaribia kutema nini?