Natamani nimuone shibuda akiongea misamiati!
Kilichotokea leo bungeni kwa Mh. Wenje kulazimishwa kufuta usemi wake kimemtia aibu sana mbunge huyu, kwani ameonekana ni mtu asiye na msimamo na ni muoga pale anapo kemewa, na hasa pale alipoambiwa kuwa atatolewa nje ya bunge, kama si hekima na busara za Zitto za kumuomba Mh. Spika amvumilie hakujua asemalo kwa kuita kikao cha kamati ya uongozi kilichokaa ni ‘black market' . Hii imemshushia sana hadhi yake !
cHILDISH!
Jivue Gamba wewe!
Naona tokea jana uko kwenye kazi maalum...Payroll inakaribia kutema nini?