Spidi ya wakinga kwenye biashara inatisha, tuna lipi la kujifunza?

Kuna jambo la kustukiza sana katika miaka ya hivi karibuni kuanzia 2010, kuna hawa jamaa wanaitwa wakinga wamejipatia umaarufu ndani ya miaka hii michache kwa spidi ya 4g

Ni kabila dogo sana ambalo halifiki hata watu laki 2 lakini ni moto wa kuotea mbali kwenye biashara kwakweli, siongei maneno matupu maana nayashuhudia kwa macho yangu.

leo hii ukienda pale kariakoo ni ya wakinga, kiukweli inastua.


Kwa mimi binafsi nikiwa chuoni, kuna mkinga flani alimaliza form 4 akaja kuanza certificate, nilipata kumjua, yule dogo hata hakumaliza certificate alianza kuuza mitumba ya nguo ila leo hii ana duka lake la simu za iphone hajafika hata miaka 25 na maisha yake yamebadilika.

Kuna mwengine alipomaliza chuo alipata ajira, analipwa vizuri tu kama 1.3 M take home na allowances kibao, ila alikaa kazini mwaka moja tu, aliacha hio kazi watu walimshangaa sana, alifungua biashara yake, hatua aliyofikia kwa sasa inavutia kwa kweli,

Mwengine namjua alimaliza chuo, hata hakuhangaika kitafuta kazi, alichangiwa mtaji wa biashara, nilitegemea atafungua duka mkoa anaoishi ila alivuka mategemeo yangu, huyu kaenda huko Zambia kwenye mikoa ya kawaida kabisa tena ndani ndani huko hata hana ndugu, bwana! bwana! bwana! duka ni la vitu general kama kina mangi ila anauza si mchezo! ndani ya miezi 8 tu aliweza kupanua duka lake, na saizi kaongeza duka la ziada basi ni mwendo wa bampa to bampa,

Nafkiri kuna namna tunaweza jifunza kupitia hili kundi,

Kumekua na fununu za ndumba na uchawi ila kwa bidii nayoona waliyo nayo unaona kabisa the juice is worth the squeeze, kama unahisi ni ndumba basi na wewe karoge,!!
Hii mada ni ya ajabu - mbona hushangai kwanini wachagga wanafanya vizuri kwenye biashara, je nao wanatumia waganga? Hii inaweza kutumika kuchafua au kubeza mafanikio ya watu wanaojituma sana kufanya kazi na kujiwekea akiba ili wafanikiwe.
 
Hii mada ni ya ajabu - mbona hushangai kwanini wachagga wanafanya vizuri kwenye biashara, je nao wanatumia waganga? Hii inaweza kutumika kuchafua au kubeza mafanikio ya watu wanaojituma sana kufanya kazi na kujiwekea akiba ili wafanikiwe.
Hilo kundi ulilolitaja limeshapinduliwa hapo kariakoo, ukifika kariako sikuhizi wakinga wamejaa mno, Usianze kuibua vitu ambavyo havuhusiani na maada, wapi nimeandika kuhusu kutumia uganga?? nilichoandika ni kwamba watu wengi wanawatuhumu kutumia uganga, hivyo na wenyewe watumie huo uganga watoboe
 
Kuna jambo la kustukiza sana katika miaka ya hivi karibuni kuanzia 2010, kuna hawa jamaa wanaitwa wakinga wamejipatia umaarufu ndani ya miaka hii michache kwa spidi ya 4g

Ni kabila dogo sana ambalo halifiki hata watu laki 2 lakini ni moto wa kuotea mbali kwenye biashara kwakweli, siongei maneno matupu maana nayashuhudia kwa macho yangu.

leo hii ukienda pale kariakoo ni ya wakinga, kiukweli inastua.


Kwa mimi binafsi nikiwa chuoni, kuna mkinga flani alimaliza form 4 akaja kuanza certificate, nilipata kumjua, yule dogo hata hakumaliza certificate alianza kuuza mitumba ya nguo ila leo hii ana duka lake la simu za iphone hajafika hata miaka 25 na maisha yake yamebadilika.

Kuna mwengine alipomaliza chuo alipata ajira, analipwa vizuri tu kama 1.3 M take home na allowances kibao, ila alikaa kazini mwaka moja tu, aliacha hio kazi watu walimshangaa sana, alifungua biashara yake, hatua aliyofikia kwa sasa inavutia kwa kweli,

Mwengine namjua alimaliza chuo, hata hakuhangaika kitafuta kazi, alichangiwa mtaji wa biashara, nilitegemea atafungua duka mkoa anaoishi ila alivuka mategemeo yangu, huyu kaenda huko Zambia kwenye mikoa ya kawaida kabisa tena ndani ndani huko hata hana ndugu, bwana! bwana! bwana! duka ni la vitu general kama kina mangi ila anauza si mchezo! ndani ya miezi 8 tu aliweza kupanua duka lake, na saizi kaongeza duka la ziada basi ni mwendo wa bampa to bampa,

Nafkiri kuna namna tunaweza jifunza kupitia hili kundi,

Kumekua na fununu za ndumba na uchawi ila kwa bidii nayoona waliyo nayo unaona kabisa the juice is worth the squeeze, kama unahisi ni ndumba basi na wewe karoge,!!
Hata Hawa kina mangi
 
Wapare wengi ni bahili lakini hawana biashara, hapo ndipo penye utofauti
Utajiri wa masharti huo sio utajiri ni laana tu.
Yaani pesa ninayo lakini naogopa kula na kuvaa vizuri kisa nitafilisika huo ni upumbavu.
Mtu anayeonea ubahili hata tumbo lake anaweza kumsaidia maskini mwenye njaa kweli?
Kwangu mimi utajiri ni kua na uwezo wa kuihudumia familia yangu vizuri (kukidhi mahitaji yooote ya familia) pamoja na kuwasaidia watu wangu wa karibu ndugu, jamaa, marafiki na wote wasiojiweza wanaonizunguka katika jamii.
Mambo ya kufungia mabilioni ya pesa bank huku kuna watu walionizunguka wanakufa kwa njaa au wanapoteza maisha kwa kukosa huduma ya matibabu huo kwangu sio utajiri ni ufahari usio na faida yoyote kwangu.
 
Utajiri wa masharti huo sio utajiri ni laana tu.
hata wanyakyusa wa mbeya, wafipa wa rukwa, waha wa kigoma, wahaya wa kagera, wasukuma wa mwanza, wakurya wa mara, wapare wa kilimanjaro, wasambaa wa tanga, wazaramo wa dar, wamakonde wa mtwara, wangoni wa ruvuma, wahehe wa iringa, n.k wapo wanaoenda kwa waganga lakini haimaanishi ni wote, sio kwenye biashara tu bali hata makazini na maisha ya kawaida.
Yaani pesa ninayo lakini naogopa kula na kuvaa vizuri kisa nitafilisika huo ni upumbavu.
Sawa mkuu

1636446253906.png

Mtu anayeonea ubahili hata tumbo lake anaweza kumsaidia maskini mwenye njaa kweli?
Mkuu hawa jamaa wanasaidiana vizuri tu, Nenda pale kariakoo ujionee, wameikamata kariakoo kisawa sawa na hii ni kwa kusaidiana
Kwangu mimi utajiri ni kua na uwezo wa kuihudumia familia yangu vizuri (kukidhi mahitaji yooote ya familia)
Wenzako wanawaza mbali zaidi ya hapo, saizi wana kampuni hhadi za kusafirisha mizigo kutoka china
pamoja na kuwasaidia watu wangu wa karibu ndugu, jamaa, marafiki na wote wasiojiweza wanaonizunguka katika jamii.
Inapendeza lakini kwa makabila mengi ya Tanzania hayapendi kusaidiana ndio maana hayaendelei
Mambo ya kufungia mabilioni ya pesa bank
Fikisha kwanza hayo mabilioni, ndio uongelee mabilioni,

hio pesa uliyonunulia bando ingependeza uwanunulie chakula wasiojiweza.
 
hata wasukuma, wachaga, wamasai, warangi, wahehe, wazaramo, wanyakyusa wanaofanya biashara wapo wanaoenda kwa waganga lakini haimaanishi ni wote.

sawa
View attachment 2003994

Mkuu hawa jamaa wanasaidiana vizuri tu, Nenda pale kariakoo ujionee, wameikamata kariakoo kisawa sawa na hii ni kwa kusaidiana

Wenzako wanawaza mbali zaidi ya hapo, saizi wana kampuni hhadi za kusafirisha mizigo kutoka china

Inapendeza lakini kwa makabila mengi ya Tanzania hayapendi kusaidiana ndio maana hayaendelei

Fikisha kwanza hayo mabilioni, ndio uongelee mabilioni,

hio pesa uliyonunulia bando ingependeza uwanunulie chakula wasiojiweza.

 
Watu wanaotokea mkoa wa njombe usiwa underestimate kabisa ki intelligence wako vizuri sana

Ukisikia mtu anatoka njombe fatilia hata rekodi zake za darasani utakuta yuko smart sana .

Tatizo wako humble saa hawana makelele Kama wale wengine wa kule

Biashara zinawatoa sana

Japo wapo wazee wa ndagu je huko kwengine hawako!?
 
Watu wanaotokea mkoa wa njombe usiwa underestimate kabisa ki intelligence wako vizuri sana

Ukisikia mtu anatoka njombe fatilia hata rekodi zake za darasani utakuta yuko smart sana .

Tatizo wako humble saa hawana makelele Kama wale wengine wa kule

Biashara zinawatoa sana

Japo wapo wazee wa ndagu je huko kwengine hawako!?

mkoa wa njombe kuna makabila y wahehe, wabena na wakinga.......Wainga wengi wapo wilaya ya Makete

Kiukweli kwenye elimu bado wapo chini sana kwa sababu miundo mbinu ya elimu ipo cini sana huko makete, shule ni chache sana , hali ya hewa so nzuri kuna baridi kali sana na mwamko wa elimu ni mdogo wengi wanakimbilia biashara au kilimo
 
Ni kweli unachosema ila tatizo wanakumbwa mno na vifo vya utatanishi wakiwa wadogo na miaka michache tu baada ya kupata utajiri. Ukienda Njombe na Makambako kuna wajane hadi utasikitika
Mkoa na wilaya yao inaongoza kwa maambukizi ya UKIMWI.
 
i kweli unachosema ila tatizo wanakumbwa mno na vifo vya utatanishi wakiwa wadogo na miaka michache tu baada ya kupata utajiri.
Tatizo huishi na wakinga, unasikiliza stori zao vijiweni.

Mimi nipo Mbeya huku nawajua wakinga wengi tu wazee wenye biashara zao.

Kuna utofauti wa mkinga anaezungumziwa vijiweni na mkinga wa kwenye uhalisia
 
Mkuu hili ni jukwaa la great thinkers, bora ukae kimya kuliko kujiweka wazi ujinga wako kwa kutoa maoni kwa kitu ambacho unakisikia tu kijiweni.

Mtu ambae anakula viazi vya kuchemsha ni mwanga?? wachungaji au mashehe hawali viazi??

kwenye hili swala la viazi Ishu ni kubana matumizi.

Kiufupi hata wachaga walikuwa wanabana matumizi ila hawajafikia kwa wakinga aisee, hawa jamaa kwenye kubana matumizi inabidi walegeze kamba kidogo
Kwa hiyo wewe nawe ni great thinker🤣
Ok twende hivyo hivyo bwana great thinker, nilichoomanisha mimi si viazi, isipokuwa viazi ni mfano tu wa kuwa,, mtu una kila lkn unajidhiki mpaka kula yako, mtu una kila kitu mpaka magari pia unayo lkn hapo hapo unapanda daladala na haya mambo pia yapo na tunajionea,,, na hasa wale wanaojiita magreat thinkers wengi wachawi tu,,,
 
Back
Top Bottom