Cordy bnei shirk
JF-Expert Member
- Dec 13, 2017
- 305
- 186
Jamaaa wakienda china hawana shopping yoyote zaidi ya kununua kilichompeleka..atavaa yale yale maronya yake aliyoyaleta kuwauzia.Wabahili pro max
Jamaaa wakienda china hawana shopping yoyote zaidi ya kununua kilichompeleka..atavaa yale yale maronya yake aliyoyaleta kuwauzia.Wabahili pro max
Hii mada ni ya ajabu - mbona hushangai kwanini wachagga wanafanya vizuri kwenye biashara, je nao wanatumia waganga? Hii inaweza kutumika kuchafua au kubeza mafanikio ya watu wanaojituma sana kufanya kazi na kujiwekea akiba ili wafanikiwe.Kuna jambo la kustukiza sana katika miaka ya hivi karibuni kuanzia 2010, kuna hawa jamaa wanaitwa wakinga wamejipatia umaarufu ndani ya miaka hii michache kwa spidi ya 4g
Ni kabila dogo sana ambalo halifiki hata watu laki 2 lakini ni moto wa kuotea mbali kwenye biashara kwakweli, siongei maneno matupu maana nayashuhudia kwa macho yangu.
leo hii ukienda pale kariakoo ni ya wakinga, kiukweli inastua.
Kwa mimi binafsi nikiwa chuoni, kuna mkinga flani alimaliza form 4 akaja kuanza certificate, nilipata kumjua, yule dogo hata hakumaliza certificate alianza kuuza mitumba ya nguo ila leo hii ana duka lake la simu za iphone hajafika hata miaka 25 na maisha yake yamebadilika.
Kuna mwengine alipomaliza chuo alipata ajira, analipwa vizuri tu kama 1.3 M take home na allowances kibao, ila alikaa kazini mwaka moja tu, aliacha hio kazi watu walimshangaa sana, alifungua biashara yake, hatua aliyofikia kwa sasa inavutia kwa kweli,
Mwengine namjua alimaliza chuo, hata hakuhangaika kitafuta kazi, alichangiwa mtaji wa biashara, nilitegemea atafungua duka mkoa anaoishi ila alivuka mategemeo yangu, huyu kaenda huko Zambia kwenye mikoa ya kawaida kabisa tena ndani ndani huko hata hana ndugu, bwana! bwana! bwana! duka ni la vitu general kama kina mangi ila anauza si mchezo! ndani ya miezi 8 tu aliweza kupanua duka lake, na saizi kaongeza duka la ziada basi ni mwendo wa bampa to bampa,
Nafkiri kuna namna tunaweza jifunza kupitia hili kundi,
Kumekua na fununu za ndumba na uchawi ila kwa bidii nayoona waliyo nayo unaona kabisa the juice is worth the squeeze, kama unahisi ni ndumba basi na wewe karoge,!!
Wapare sio wafanyabiashara mzee!Inamaana ni wabahili kuliko wapare?
Mbona wapare pamoja na ubahili wao maisha yao ni yaleyale tu.
Hilo kundi ulilolitaja limeshapinduliwa hapo kariakoo, ukifika kariako sikuhizi wakinga wamejaa mno, Usianze kuibua vitu ambavyo havuhusiani na maada, wapi nimeandika kuhusu kutumia uganga?? nilichoandika ni kwamba watu wengi wanawatuhumu kutumia uganga, hivyo na wenyewe watumie huo uganga watoboeHii mada ni ya ajabu - mbona hushangai kwanini wachagga wanafanya vizuri kwenye biashara, je nao wanatumia waganga? Hii inaweza kutumika kuchafua au kubeza mafanikio ya watu wanaojituma sana kufanya kazi na kujiwekea akiba ili wafanikiwe.
Sio kweli,Utakuta wabahili lakini walevi
Mshana analinda maiti hio sio biashara
Wapare wengi ni bahili lakini hawana mipango ya kuongeza kipatoInamaana ni wabahili kuliko wapare?
Mbona wapare pamoja na ubahili wao maisha yao ni yaleyale tu.
Hata Hawa kina mangiKuna jambo la kustukiza sana katika miaka ya hivi karibuni kuanzia 2010, kuna hawa jamaa wanaitwa wakinga wamejipatia umaarufu ndani ya miaka hii michache kwa spidi ya 4g
Ni kabila dogo sana ambalo halifiki hata watu laki 2 lakini ni moto wa kuotea mbali kwenye biashara kwakweli, siongei maneno matupu maana nayashuhudia kwa macho yangu.
leo hii ukienda pale kariakoo ni ya wakinga, kiukweli inastua.
Kwa mimi binafsi nikiwa chuoni, kuna mkinga flani alimaliza form 4 akaja kuanza certificate, nilipata kumjua, yule dogo hata hakumaliza certificate alianza kuuza mitumba ya nguo ila leo hii ana duka lake la simu za iphone hajafika hata miaka 25 na maisha yake yamebadilika.
Kuna mwengine alipomaliza chuo alipata ajira, analipwa vizuri tu kama 1.3 M take home na allowances kibao, ila alikaa kazini mwaka moja tu, aliacha hio kazi watu walimshangaa sana, alifungua biashara yake, hatua aliyofikia kwa sasa inavutia kwa kweli,
Mwengine namjua alimaliza chuo, hata hakuhangaika kitafuta kazi, alichangiwa mtaji wa biashara, nilitegemea atafungua duka mkoa anaoishi ila alivuka mategemeo yangu, huyu kaenda huko Zambia kwenye mikoa ya kawaida kabisa tena ndani ndani huko hata hana ndugu, bwana! bwana! bwana! duka ni la vitu general kama kina mangi ila anauza si mchezo! ndani ya miezi 8 tu aliweza kupanua duka lake, na saizi kaongeza duka la ziada basi ni mwendo wa bampa to bampa,
Nafkiri kuna namna tunaweza jifunza kupitia hili kundi,
Kumekua na fununu za ndumba na uchawi ila kwa bidii nayoona waliyo nayo unaona kabisa the juice is worth the squeeze, kama unahisi ni ndumba basi na wewe karoge,!!
Kina mangi wa miaka ya zamani naona walikuwa moto sana kwenye biashara kuliko hawa wa siku hizi, sijui ni mimi tu naliona hili??Hata Hawa kina mangi
Utajiri wa masharti huo sio utajiri ni laana tu.Wapare wengi ni bahili lakini hawana biashara, hapo ndipo penye utofauti
hata wanyakyusa wa mbeya, wafipa wa rukwa, waha wa kigoma, wahaya wa kagera, wasukuma wa mwanza, wakurya wa mara, wapare wa kilimanjaro, wasambaa wa tanga, wazaramo wa dar, wamakonde wa mtwara, wangoni wa ruvuma, wahehe wa iringa, n.k wapo wanaoenda kwa waganga lakini haimaanishi ni wote, sio kwenye biashara tu bali hata makazini na maisha ya kawaida.Utajiri wa masharti huo sio utajiri ni laana tu.
Sawa mkuuYaani pesa ninayo lakini naogopa kula na kuvaa vizuri kisa nitafilisika huo ni upumbavu.
Mkuu hawa jamaa wanasaidiana vizuri tu, Nenda pale kariakoo ujionee, wameikamata kariakoo kisawa sawa na hii ni kwa kusaidianaMtu anayeonea ubahili hata tumbo lake anaweza kumsaidia maskini mwenye njaa kweli?
Wenzako wanawaza mbali zaidi ya hapo, saizi wana kampuni hhadi za kusafirisha mizigo kutoka chinaKwangu mimi utajiri ni kua na uwezo wa kuihudumia familia yangu vizuri (kukidhi mahitaji yooote ya familia)
Inapendeza lakini kwa makabila mengi ya Tanzania hayapendi kusaidiana ndio maana hayaendeleipamoja na kuwasaidia watu wangu wa karibu ndugu, jamaa, marafiki na wote wasiojiweza wanaonizunguka katika jamii.
Fikisha kwanza hayo mabilioni, ndio uongelee mabilioni,Mambo ya kufungia mabilioni ya pesa bank
hata wasukuma, wachaga, wamasai, warangi, wahehe, wazaramo, wanyakyusa wanaofanya biashara wapo wanaoenda kwa waganga lakini haimaanishi ni wote.
sawa
View attachment 2003994
Mkuu hawa jamaa wanasaidiana vizuri tu, Nenda pale kariakoo ujionee, wameikamata kariakoo kisawa sawa na hii ni kwa kusaidiana
Wenzako wanawaza mbali zaidi ya hapo, saizi wana kampuni hhadi za kusafirisha mizigo kutoka china
Inapendeza lakini kwa makabila mengi ya Tanzania hayapendi kusaidiana ndio maana hayaendelei
Fikisha kwanza hayo mabilioni, ndio uongelee mabilioni,
hio pesa uliyonunulia bando ingependeza uwanunulie chakula wasiojiweza.
Watu wanaotokea mkoa wa njombe usiwa underestimate kabisa ki intelligence wako vizuri sana
Ukisikia mtu anatoka njombe fatilia hata rekodi zake za darasani utakuta yuko smart sana .
Tatizo wako humble saa hawana makelele Kama wale wengine wa kule
Biashara zinawatoa sana
Japo wapo wazee wa ndagu je huko kwengine hawako!?
Mkoa na wilaya yao inaongoza kwa maambukizi ya UKIMWI.Ni kweli unachosema ila tatizo wanakumbwa mno na vifo vya utatanishi wakiwa wadogo na miaka michache tu baada ya kupata utajiri. Ukienda Njombe na Makambako kuna wajane hadi utasikitika
Tatizo huishi na wakinga, unasikiliza stori zao vijiweni.i kweli unachosema ila tatizo wanakumbwa mno na vifo vya utatanishi wakiwa wadogo na miaka michache tu baada ya kupata utajiri.
Kwa hiyo wewe nawe ni great thinker🤣Mkuu hili ni jukwaa la great thinkers, bora ukae kimya kuliko kujiweka wazi ujinga wako kwa kutoa maoni kwa kitu ambacho unakisikia tu kijiweni.
Mtu ambae anakula viazi vya kuchemsha ni mwanga?? wachungaji au mashehe hawali viazi??
kwenye hili swala la viazi Ishu ni kubana matumizi.
Kiufupi hata wachaga walikuwa wanabana matumizi ila hawajafikia kwa wakinga aisee, hawa jamaa kwenye kubana matumizi inabidi walegeze kamba kidogo