sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
kwenye familia / ndudu zako wa karibu kukiwa na watu waliofanikiwa kwa kufanya biashara inakuwa rahisi kwa wengine kuingia kwenye biashara tofauti na wale wasio na familia au ndugu walifanikiwa kibiashara, sisemi kuwa Huwezi kufanikiwa kabisa bila kuwa na historia ya biashara kwenye familia yenu, ila chance of failure ni kubwa, so make it plan B
Kwenu ni kule ambako una ukaribu nako iwe ni familia, ndugu ama ukoo. ukitaka kupajua kwenu angalia watu mnaokutana nje ya misiba na sherehe kufanya vikao vya kimaendeleo.
Ukiona huko kwenu hakuna damu ya kufanya biashara, wanaozifanya wana hali mbaya kiuchumi, hawasogei, n.k. ni jibu tosha kabisa hata ukitaka kuja kufanya biashra hao ndio watakuwa mentors wako nao watakuunga kwenye hio chain mtafanana, Ni heri angalau ukomae na shule ujaribu bahati yako kwenye ajira husika, ikishindikana ingia kwenye biashara kama Plan B.
Mfano mdogo wakinga nimeishi nao huku Iringa na Mbeya, ni kabila la 3 kwa biashara hapa nchini nyuma ya wachaga na wapemba, Na ni Mbeya hapo hapo kuna wanyakyusa lakini unaona wazi kabisa wanyakyusa hawana damu ya biashara ndio maana wanaaswa sana wasome na ukiangalia elimu imewabeba sana wana mgao wao mzuri tu kwenye ofisi na vitengo vya serikali, lakini kwa wakinga ambao kiukweli hata shuleni wanasua sua hawana presha sana hata wakifeli au wakimaliza shule wana channel ya kushikwa mkono kuanza kufundishwa biashara, mitaji, connections, n.k.
Kwa Arusha nimewahi kuishi kuna jamii za wameru, waarusha na wachaga, Japo kuwa wameru na waarusha wana mwamko mdogo kwenye elimu lakini nimeweza kuwaona waliothubutu kwa sasa wana kazi zao na mishahara si haba na wengine wameongezea biashara ila kwa walioacha shule wanapata msaada kidogo kibiashara huko makwao kwasababu kuna mwamko mdogo wa biashara, wengi huishia kuwa boda boda. lakini kwa upande wa wachaga hata kwa wale wanaoacha shule wakirudi huko kwao wanapata channel ya kupata pa kuanzia kwenye biashara kwa kufunzwa, kupewa mtaji, n.k. uzuri hawa ni kila mwaka huwa wanakutana huko vijijini kwao na wanapeana motisha za maendeleo kiasi kwamba hata nyumba za nyasi zimekuwa historia.
Kwenu ni kule ambako una ukaribu nako iwe ni familia, ndugu ama ukoo. ukitaka kupajua kwenu angalia watu mnaokutana nje ya misiba na sherehe kufanya vikao vya kimaendeleo.
Ukiona huko kwenu hakuna damu ya kufanya biashara, wanaozifanya wana hali mbaya kiuchumi, hawasogei, n.k. ni jibu tosha kabisa hata ukitaka kuja kufanya biashra hao ndio watakuwa mentors wako nao watakuunga kwenye hio chain mtafanana, Ni heri angalau ukomae na shule ujaribu bahati yako kwenye ajira husika, ikishindikana ingia kwenye biashara kama Plan B.
Mfano mdogo wakinga nimeishi nao huku Iringa na Mbeya, ni kabila la 3 kwa biashara hapa nchini nyuma ya wachaga na wapemba, Na ni Mbeya hapo hapo kuna wanyakyusa lakini unaona wazi kabisa wanyakyusa hawana damu ya biashara ndio maana wanaaswa sana wasome na ukiangalia elimu imewabeba sana wana mgao wao mzuri tu kwenye ofisi na vitengo vya serikali, lakini kwa wakinga ambao kiukweli hata shuleni wanasua sua hawana presha sana hata wakifeli au wakimaliza shule wana channel ya kushikwa mkono kuanza kufundishwa biashara, mitaji, connections, n.k.
Kwa Arusha nimewahi kuishi kuna jamii za wameru, waarusha na wachaga, Japo kuwa wameru na waarusha wana mwamko mdogo kwenye elimu lakini nimeweza kuwaona waliothubutu kwa sasa wana kazi zao na mishahara si haba na wengine wameongezea biashara ila kwa walioacha shule wanapata msaada kidogo kibiashara huko makwao kwasababu kuna mwamko mdogo wa biashara, wengi huishia kuwa boda boda. lakini kwa upande wa wachaga hata kwa wale wanaoacha shule wakirudi huko kwao wanapata channel ya kupata pa kuanzia kwenye biashara kwa kufunzwa, kupewa mtaji, n.k. uzuri hawa ni kila mwaka huwa wanakutana huko vijijini kwao na wanapeana motisha za maendeleo kiasi kwamba hata nyumba za nyasi zimekuwa historia.