permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 12,430
- 15,221
Na akishaingia ndio anafungiwa humo,Mlango umefunguliwa, huyo Ndege aliyepo nje itabidi achague, aingie ndani au kama hataki, kisu kinamuhusu.
Na akishaingia ndio anafungiwa humo,Mlango umefunguliwa, huyo Ndege aliyepo nje itabidi achague, aingie ndani au kama hataki, kisu kinamuhusu.
Kwa mbaaaaaali naanza kuelewa.....SUGU tayari bado MBOWE
Ndugu unaogopa nini?Na wewe si unasema tu "account yangu imehakiwa"Kwa mbaaaaaali naanza kuelewa.....
Nisije sema naelewa nikawa NACHOCHEA...
Kisu kitamuhusu kama akitoka nje, coz kisu kipo nje.Hata alieko ndani pia muda ukifika kisu kitamhusu!! Mimi nilifikiri huyo wa nje anamshangaa wa ndani Kung'ang'ania kubaki ndani wakati kisu kimeshanolewa!
Haswaaaaaa!!!Na akishaingia ndio anafungiwa humo,
Angekuwa genious angekuwa anachora vitu vinae eleweka
Sio lazima ueleweAngekuwa genious angekuwa anachora vitu vinae eleweka
Kwasababu anachora vitu visivyoeleweka ndio maana anakuwa "Genius",anachora vitandawili mwenye akili anatakiwa ategue aliekuwa mbumbu atabaki kukodowa macho,kodo....,kama wewe vileAngekuwa genious angekuwa anachora vitu vinae eleweka
he has brainsHuyu jamaa anafikra za hali ya juu.
![]()
hehehe utakuwa mwana lumbumber kilazaAngekuwa genious angekuwa anachora vitu vinae eleweka
anamaanisha wapinzani kwa sasa Jela ndo sehemu salama kwao wakitoka huko ni vitu vyenye ncha kali ....Nadhani anamaanisha ukitoka jera wanakuwa wamekata mabawa huna ujanja wa kupaa tena...