Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

hii story ni kitu cha kweli wajameni,,yani utolewe uhai kisa fis eeeem.?
 
Mlango umefunguliwa, huyo Ndege aliyepo nje itabidi achague, aingie ndani au kama hataki, kisu kinamuhusu.
Ninavyoona mimi yule ndege wa ndani kafunguliwa mlango, lkn inaonesha ndege wa nje ni mla ndege! So akitoka nje ataliwa. Hana uhuru kabisa!
Na hata asipoliwa kisu pale juu kinamhusu!
 
Angekuwa genious angekuwa anachora vitu vinae eleweka

Na ndiyo ili ujulikane Wewe ' Genius ' yakupasa sasa Kung'amua / Kugundua hicho alichokichora hapo vingenevyo maelezo yako ya ' hasira ' dhidi yake yanaonyesha dhahiri shahiri kuwa Wewe ni Kinyume na neno ' Genius ' hivyo wapishe tu ' Geniuses ' waliomuelewa ambapo wanaweza kukusaidia Kukuelewesha ili basi angalau na Wewe uanze kuwa ' Genius ' kama wengine wengi.
 
Hata mleta katuni anaweza kuwa hajaelewa vile vile ila ameileta tu hapa huku anachekelea tumwone kailewa. Wabongo nao watu basi !
Akili yako ndogo sana hata fumbo hilo linakutoa jasho hatar sana.
 
Yupo vyema kipanya.

Ila isiwe unamumiminia sifa kwa sababu anakubamba haswa katika mitazamo yako unayoipenda.

Kipanya anang'ata kotekote.
 
Kisu kimenolewa kwa wote issue ni nani wa kwanza kuchinjwa wqnje au wa ndan maan wote wamenyonyolewa
 
Hata mleta katuni anaweza kuwa hajaelewa vile vile ila ameileta tu hapa huku anachekelea tumwone kailewa. Wabongo nao watu basi !
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tafsiri yangu ni 1. kisu ni nyenzo ya kutolea uhai kwa hao ndege walionyonyolewa
2. Cage ni ishara ya gereza au kunyimwa uhuru wa kutoa mawazo au maoni
3. Ndege walionyonyolewa ni ishara ya kudhalilishwa kwa njia mbali mbali kama vile kiuchumi, kijamii na mengineyo.
 
Moja ya sifa ni kuchora vitu vinavyoeleweka, sasa kama kitu anakielewa yeye peke yake angekaa nacho tu wawe wanaangalia na mke wake, halafu hajui kuchora kisu.
 
Nikisema wataniita mchochez,let's assume namm sijaelewa
 
Mchochezi anamaanisha hao ndege kuchinjwa lazima maana tayari manyoya washanyonyolewa wabandani na wa nje wote parapanda... Sio Mimi lakini ni yule wanamwitaga mchochezi ndo kamaanisha vile.. Kesho mkiniuliza naweza nikatoa maana nyingine maana katuni kama hiyo inamaana nyingi nikiona Mambo yamebadirika nitajitetea Jogoo alikuwa Bandani ashavua Nguo anamsubili jike avunje Amri ya 6 hahahaha...
 
IMG_20180226_170222.jpg
 
Back
Top Bottom