JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 8,470
- 18,249
Swali zuri,maana ardhi yetu mnachukua,fidia kiduchu,miradi ya miundombinu mnajenga,pesa ya mkopo,bodi ya mikopo hoi,ili kupata hela,mpaka muwakabe waliokopa zamani ambao kwa sasa hv,wengi wao vyuma vimekaza kabiza,
FAO letu la kujitoa,mmezuia,
Sasa unacho sevu,kinaenda wapi?
FAO letu la kujitoa,mmezuia,
Sasa unacho sevu,kinaenda wapi?