occipito-frontalis
Senior Member
- May 28, 2017
- 134
- 71
Usilazimishe kuwaaminisha watu fikra zako ndugu, kila mtu anafahamu namna ya anavyo fikiria
Masoud hana akili ni mirembe
Kwani Magufuli anasema tuko vizuri kwenye nini!!?? tieleze tulinganishe na picha....
Bahraini mkubwa, yemeni kabisa, uturuki zakoWewe ndio akili yako umebebea makali, yaani hiyo picha unaitafasiri kwa kumuhusisha mheshimiwa, acheni kujishuku
haha ha Aiseee unaichukia sana chadema ninafikiri kna kiongozi au mfuasi WA chadema alikulikuingilia Kwa nguvu kwennye 0713 yako sio bure Wewe MdadaHata Chadema inakufa lakini inasema ipo vizuri
Mzee Kipanya anachora katuni za kisiasa, na mtu ambaye ananukuliwa akisema tupo vizuri kila siku ni Magufuli
Wewe hamnazo kabisaMzee Kipanya anachora katuni za kisiasa, na mtu ambaye ananukuliwa akisema tupo vizuri kila siku ni Magufuli
Vikatuni huwa vinatafsiri nyingi ndugu usimtafutie kipanya matatizo ya bureMchoraji maarufu wa katuni Masoud Kipanya amechora katuni ambayo inatafsirika kama kejeli kwa rais Magufuli
Katika katuni hiyo anaonekana mtu amezama majini akiacha mkono tu juu huku akisema yupo vizuri
Hii inaweza kutafsiriwa kuwa ni Hali mbaya ya kiuchumi Tanzania iliyonayo hivi sasa huku Rais akisisitiza katika hotuba zake za kila mara kuwa tupo vizuri
View attachment 960560
Tena kaaulizwa jamani vipi huko ndokajibu yuko vzrMahaba yako tu hayo kwa kipanya ...... Lakin hakuna uhusiano wowote wa picha na maandishi yako.... Wa Tanzania zaidi ya 20m wenye akili timamu wewe ndio umetafsiri hiyo image na serikali ya Tanzania. Wengi wanaona mtu kazama akionyesha yeye ni mtaalam wa mbiziiii kama nyambiz la ussr
Kwa nini mkuu? We unafikiri hapo ni nini?Wewe hamnazo kabisa