Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Mchoraji maarufu wa katuni Masoud Kipanya amechora katuni ambayo inatafsirika kama kejeli kwa rais Magufuli
Katika katuni hiyo anaonekana mtu amezama majini akiacha mkono tu juu huku akisema yupo vizuri

Hii inaweza kutafsiriwa kuwa ni Hali mbaya ya kiuchumi Tanzania iliyonayo hivi sasa huku Rais akisisitiza katika hotuba zake za kila mara kuwa tupo vizuri

View attachment 960560

Kama anatafsirika kirahisi hivyo basi hiyo Sio sanaa na Yeye Sio msanii ni mwanasiasa. Unaweza pia kuwa unamjua na undugu naye labda kakupigia simu so siwezi kukubishia . Na Siku kipanya akichora katuni na ikatafsirika inamuhusu mpinzani kama mbowe ntag.
 
Ila hiyo katuni ipo wazi kabisa nashangaa wanaoipeleka kwenye maana nyengne ...wanamatatzo ya kujifanya wajuzi wa kitambua kumbe matope2
 
Mchoraji maarufu wa katuni Masoud Kipanya amechora katuni ambayo inatafsirika kama kejeli kwa rais Magufuli
Katika katuni hiyo anaonekana mtu amezama majini akiacha mkono tu juu huku akisema yupo vizuri

Hii inaweza kutafsiriwa kuwa ni Hali mbaya ya kiuchumi Tanzania iliyonayo hivi sasa huku Rais akisisitiza katika hotuba zake za kila mara kuwa tupo vizuri

View attachment 960560
Umejuaje kama anaongelea Magufuli?
 
Unaweza kukuta matatizo yake ndio yanamzamisha. Wengine tupo vizuri kwa mazuri kichwani Positive.
 
picha hiyo imamaanisha taifa star kila ikifungwa wanasema tupo vizuri mechi hii tutashinda
 
Mchoraji maarufu wa katuni Masoud Kipanya amechora katuni ambayo inatafsirika kama kejeli kwa rais Magufuli
Katika katuni hiyo anaonekana mtu amezama majini akiacha mkono tu juu huku akisema yupo vizuri

Hii inaweza kutafsiriwa kuwa ni Hali mbaya ya kiuchumi Tanzania iliyonayo hivi sasa huku Rais akisisitiza katika hotuba zake za kila mara kuwa tupo vizuri

View attachment 960560
Wewe ndo Musiba!??,umeshapona kichaa chako!
 
Mzee Kipanya anachora katuni za kisiasa, na mtu ambaye ananukuliwa akisema tupo vizuri kila siku ni Magufuli
Wapumbavu hawaishi kuzaliwa kwani kwa takwimu zisizo za kidunia, kila wanaume mia moja wanaozaliwa Tanzania, 99 ni wapumbavu waliopitiliza! Haiyumkiniki wewe mleta hoja upo kundi hilo! Ningekufundisha somo la perception lakini hutoweza kulielewa kwa akili kiduchu uliyokuwa nayo! Nakushauri urudi shule ukajifunze ama namna ya kureason au kujipendekeza kwasababu lugha ya picha ambayo huanza kufundishwa darasa la kwanza ulimwaibisha mwalimu wako! Kwa taarifa mchonganishi ni wewe na huenda una bifu la kipuuzi au wivu wa kipumbavu na Kipanya! Na hii ndiyo sababu kuu ya mkulu kuwateua wapinzani kwenye nafasi za juu na kuiacha sampuli ya kwako ikidanga na kupiga miayo! Mtashindia sana bigG hapo lumumba!
 
Sasa hapo kamkejeli vipi au wewe wa msingizia wachora katuni walikuwepogi even magufuli hajawa president. Acha afanye kazi yake
 
Una matatizo ya negativity kichwani mwako punguza hisia hasi life is too short. Vtu vingine ignore tu.
Mzee Kipanya anachora katuni za kisiasa, na mtu ambaye ananukuliwa akisema tupo vizuri kila siku ni Magufuli
 
Umempa ukweli mtupu yani kikatuni hakihusiki na magufuli kabisa. Nakuunga mkono acha Raisi awateue upinzani Wana mawazo chanya kuliko hao wanaoendekeza upuuzi
Wapumbavu hawaishi kuzaliwa kwani kwa takwimu zisizo za kidunia, kila wanaume mia moja wanaozaliwa Tanzania, 99 ni wapumbavu waliopitiliza! Haiyumkiniki wewe mleta hoja upo kundi hilo! Ningekufundisha somo la perception lakini hutoweza kulielewa kwa akili kiduchu uliyokuwa nayo! Nakushauri urudi shule ukajifunze ama namna ya kureason au kujipendekeza kwasababu lugha ya picha ambayo huanza kufundishwa darasa la kwanza ulimwaibisha mwalimu wako! Kwa taarifa mchonganishi ni wewe na huenda una bifu la kipuuzi au wivu wa kipumbavu na Kipanya! Na hii ndiyo sababu kuu ya mkulu kuwateua wapinzani kwenye nafasi za juu na kuiacha sampuli ya kwako ikidanga na kupiga miayo! Mtashindia sana bigG hapo lumumba!
 
Kwani hapo Rais yuko wapi?acha kuwa mchonganishi,wewe ndiyo unamkejeli kwa kumfananisha na asichofanananacho.
 
Back
Top Bottom