Nimejikuta Nacheka tu.. Kwa kibonzo hiki.. Creativity.
kweli nimejikuta nacheka mpaka watoto ananishangaa sasa hivi! nikawaonyesha! kidogo wazimie!
Nimejikuta Nacheka tu.. Kwa kibonzo hiki.. Creativity.
hahhahahaaaa, naona jamaa full kutetemeka
Kweli nimeamini katika maneno zaid ya elfu moja, neno moja tu linaweza kuharibu ujumbe mzima wa maneno yote. Big up kwa Masoudkweli nimejikuta nacheka mpaka watoto ananishangaa sasa hivi! nikawaonyesha! kidogo wazimie!
Basi Mkulu awe makini anapoongea kwenye kadamnasi. He lacks those skills! he is too mechanical!Kweli nimeamini katika maneno zaid ya elfu moja, neno moja tu linaweza kuharibu ujumbe mzima wa maneno yote. Big up kwa Masoud
Waliobaki sasahivi wanaokosoa bila uoga na masoud,Maria Sarungi na Shangazi.Masoud anajiamini sana,na hivi ndivyo tunavyopaswa kuishi. Katika ukweli wa kile unachokiamini
Tatizo la mkuu liko hapo. Kilimshinda nini kuongelea mikakati ya serikali yake kuboresha elimu mambo ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu yanjuu na elimu yake ya Bure na mengi sana kama hayo, maana alikuwa anazindua chombo cha kuboresha elimu? Tatizo la kuchomekea vitu vya ajabu kwenye ishu muhimu za kitaifa ndo matokeo yake. Pia anatakiwa kujua yeye ni raisi na sio "Malaika wala jiwe wala kichaa". Akijua hilo watu wataandika yale mazuri anayoyasema ya kuboresha elimu na kutekeleza ilani ya chama chake na sio kunanga watu na wafadhili. Au nimuulize Magonjwa Mtambuka na timu yake kama kuna sehemu kwenye ilani yao ya awamu hii wameandika ni kuhakikisha wapinzania wanajazana magerezani? Nawaza tu ila Haya mambo Haya!!!!!!!!! VUTA-NKUVUTEKweli nimeamini katika maneno zaid ya elfu moja, neno moja tu linaweza kuharibu ujumbe mzima wa maneno yote. Big up kwa Masoud
Oil chafu konki konki konki master anazunguka na wasafi sasa tulishamsahau.Kwani chapter ya Konkii na Oil chafu pia ilishapita? Au ina part two?
Natabiri chapter itayofuata itakuwa ..........
Membe.Kwani chapter ya Konkii na Oil chafu pia ilishapita? Au ina part two?
Natabiri chapter itayofuata itakuwa ..........
Hawanuwezi kachero mbobezichapter saizi inaweza ikawa mf.
Membe akaliwa kooni.
Ndani ntiti nje ntiti, Lindi kuchele.Sasa hivi ni Mwendo wa Shemeji yetu Benard (Bakari) Camillius Membe anahujumu Serikal Kwa Kuwa yupo Kimya Sana hajawahi kumpigia Simu Mwalimu Bashiru kumsabahi
Wagombea Urais walikuwa zaid ya 15 lakin Membe ndio ambae anakwamisha Juhudi Za Mzee Kwa Kuwa haongei chochote