Sahihi mkuuNi mchoro sio picha.
CCM chama kubwa wewe acha utoto, Masoud sio kila kitu anajua au mawazo yake yapo sahihi kwa kila jambo muda mwingine uwa joto lina mtikisa. Hata chakula kinapo pita kwenye Utumbo uwa Utumbo unapata Joto.Picha hii wakuu! Nilijua imekujaView attachment 956720
Nikadhani labda siioni kwa sababu natumia freebasics.
Nenda kwenye site ya freebasics ambayo ni www.freebasics. com. Utakuta jf ipo moja ya site zinazopatikana bure humoVip mkuu hiyo free basic unaipataje
Nataka na mm niinjoy Jf wakati sina bando
Nenda kwenye site ya freebasics ambayo ni www.freebasics. com. Utakuta jf ipo moja ya site zinazopatikana bure humo
Kwa hiyo huo ndio usawa wa 20/20 yetu machoHii hapa mkuuView attachment 956726
CCM chama Mama Afrika na ni mfano kwa vyama vya Njee. CCM ni maisha yangu.nilipoona Lowassa kaondoka na hili li chama likabaki limesimama sitegemei muujiza wa kuiondoa CCM madarakani! Juzi hapa rais wa Zimbabwe kaja kjujifunza sijuhi nini na kilichotokea kwenye uchaguzi wa Zimbabwe tumeona
Bendera inapasuka kati kwa katiKwa hiyo huo ndio usawa wa 20/20 yetu macho
Nimeiona hii picha ya Masoud Kipanya. Ikanifanya nitafakari Hasa kile kinachoendelea Lumumba.
Wewe unaongelea ya Nje,Moto utawaka ndani kwanza na ndio mzuri huo kila mtu anausubiri.ila sidhani kama 2020 kutakuwa na kazi kubwa kiasi hicho maana mkurugenzi umeteuriwa umepewa vx umepewa polic halafu utamtangazaje mtu asiyekuwa kijani
Wampige risasi tu mbona Lissu walimpiga risasiMimi nimeshindwa kuelewa maana hasa ya hii picha kutoka kwa msanii Kipanya
Tafadhali wenye maono na akili ndefu tuichambue hii pichaView attachment 958039
Wampige risasi tu mbona Lissu walimpiga risasi