Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Nimeiona hii picha ya Masoud Kipanya. Ikanifanya nitafakari Hasa kile kinachoendelea Lumumba.
Au ni hii mkuu?
0EAFFCDC-D4E1-45E8-978E-6ECB1B37A005.jpeg
 
ila sidhani kama 2020 kutakuwa na kazi kubwa kiasi hicho maana mkurugenzi umeteuriwa umepewa vx umepewa polic halafu utamtangazaje mtu asiyekuwa kijani
 
Back
Top Bottom