kilagalila
JF-Expert Member
- Nov 8, 2018
- 320
- 154
Kila mtu ana utashi wake. Kwa mfano hapa kijiweni nilipo kwa sasa wadau wameangalia hiyo picha wanadai inamhusu MBOWE na baba yake anayezungumziwa hapo ni Chama (Chadema) kilichombeba na mbeleko ya mabua.
msinipangie
Ulipeleka Uji kwa Mwenyekiti asubuhi!? Au unapiga domo tu humu!Huyo jamaa ni kilaza tu wachana naye
Ulipeleka Uji kwa Mwenyekiti asubuhi!? Au unapiga domo tu humu!
Ulipeleka Uji kwa Mwenyekiti asubuhi!? Au unapiga domo tu humu!
Hahahaha...just hahahahaNdio mana unaendelea kukonkiwa hujui hatar ya kupata fistula aftalaw ungejulia wapi mkolomije mchunga ng'ombe
Umeelewa ila unajaribu kuchomoka bashite anabebwa sana na jiwe mara avamie clouds mara akwepe ushuru bandarini mhujumu uchumi yule anakimbilia kulia kanisani mara atoe laana ya makontena jiwe kimya kashikwa pabaya sana ile mipango ovu ya kumuua lissu waliyopanga bashite na baba yake ndo analipiza sasa akimwaga mboga dogo anamwaga ugali mzee kashikwa korodani.Kila mtu ana utashi wake. Kwa mfano hapa kijiweni nilipo kwa sasa wadau wameangalia hiyo picha wanadai inamhusu MBOWE na baba yake anayezungumziwa hapo ni Chama (Chadema) kilichombeba na mbeleko ya mabua.
Michezo ya Amber Ruty inawaharibu sana wallah!
Mleta mada anatakiwa kuwa mtu stable na kusimamia hoja, kuanza kubishana na watu wenye mtindio wa ufahamu kunaifanya mada ikose mtiririko uliokusudiwa.Naiona cracks kwenye ubongo wako
Mleta mada anatakiwa kuwa mtu stable na kusimamia hoja, kuanza kubishana na watu wenye mtindio wa ufahamu kunaifanya mada ikose mtiririko uliokusudiwa.
Ningekuwa sina wajukuu, na watoto humu wanaonifahamu na kuniheshimu ningekujibu. Asante.Peleka Ushoga wako kwa mashoga wenzako huko! Rangi hiyo inaweza kuwa ni mshabiki wa Yanga na nembo inaweza kuwa anawakilisha wakulima na wajenzi (Jembe na Nyundo).
Sumu ya chuki inawamaliza nyang'au nyinyi!