Special thread: Kampeni ya kumsaka Roma nchi nzima kila sehemu

Special thread: Kampeni ya kumsaka Roma nchi nzima kila sehemu

Jamani nimesikia simu ya roma inapatikana ukituma sms na wasap zote zinakua deriverd..

Sasa kama kuna mtu anayo namba yake anitumie nimcheki sasa hiv ntawambia yupo wapi
 
Wapi nilipo sema hayo uliyosema?
Pumbf kabisa wewe, klaza na punguan wa heed!
Sasa wewe unapata buku7 pale lumumba??
Hata lisaa halijapita unayakana maneno yako yasome vizuri ,utueleze laana ya ccm ilingia vip kwenye majibu yako
 
Jamani nimesikia simu ya roma inapatikana ukituma sms na wasap zote zinakua deriverd..

Sasa kama kuna mtu anayo namba yake anitumie nimcheki sasa hiv ntawambia yupo wapi
Kama namba yake inapatikana means polisi wanaweza kui-trace na kujua iko wapi kama wanavyowa- trace wanaomsema Mkuu. If this is not done , then polisi wanajua aliko! FINAL AND LOGICAL CONCLUSION
 
Ndio unajiuliza hao TCRA WAMESJINDWA KUTRACE KUJUA YUKO WAPI?....TZ bana!
 
DAH AJITOKEZE MWENYE HIZO NAMBA....ILA MKUU ATA UKIJUA KUWA YUPO UPANDE GANI TUTAFANYAJE?
 
Sasa iv naenda kununua jambia. Nimegundua tanzania hatupo salama tena. Nikutane na mijitu wanizonge zonge yani ama nife mimi au wao.

Alafu mtu hawezi kuijiwa na gari ambayo si ya polisi na akakubali kupanda.
 
Hata lisaa halijapita unayakana maneno yako yasome vizuri ,utueleze laana ya ccm ilingia vip kwenye majibu yako
Unaelewa maana ya kuwa na laana wewe?
Ndiyo nimesema maccm ikiwemo hata wewe mna laana, basi na wewe pia unahusika kumteka kama akili yako imeelewa hivyo!
 
Mkuu huyo si binadam na Inshallah km anafanya mzaha basi Mungu atamshushia la kumshushia ataijua dunia, kuna muda unaweza muona mtu anapata shida ya maradhi au jambo lolote kumbe Mungu anamuadhibu kwa jambo au kauli aliyowahi kutoa na akadharau kuona ni kawaida tu. Huyu ni MSHENZI. waswahili wanajua mtu mshenzi ni mtu wa aina gani. SHENZI KABISA.
Acha kumuhusisha Mungu kwenye jambo kama hili na elewa Mungu hapangiwi na hana mawazo kama yako .Kwahiyo wenye maradhi ndio wenye mizaha. Nyinyi ndo msioelewa chochote .
 
Acha kumuhusisha Mungu kwenye jambo kama hili na elewa Mungu hapangiwi na hana mawazo kama yako .Kwahiyo wenye maradhi ndio wenye mizaha. Nyinyi ndo msioelewa chochote .
Upeo wako mfupi km ww mwenyewe, Mungu humpa mtu jambo kwa sababu mbili tu. Humpima imani, au humuadhibu kwa kosa alolifanya. Usibishane km huna elimu ya uungu. Hujui kitu ndo mana unaropokwa tu.
 
Unaelewa maana ya kuwa na laana wewe?
Ndiyo nimesema maccm ikiwemo hata wewe mna laana, basi na wewe pia unahusika kumteka kama akili yako imeelewa hivyo!
Asa laana ya ccm inahusika vip na huu uzi wa kumtafuta Roma tulia mkuu punguza jazba.
 
Huu ujasiri wa kwenda ku sachi hadi ikulu kama unavyoongea ungeuonyesha japo kwa kuweka picha yako na mahali ulipo ili tuungane ingekuwa vyema sana
 
umesikia...ulikosikia naiman wana namba za Roma,ni vyema kuzipata huko km hapa hutozipata mkuu!....
 
Huu ujasiri wa kwenda ku sachi hadi ikulu kama unavyoongea ungeuonyesha japo kwa kuweka picha yako na mahali ulipo ili tuungane ingekuwa vyema sana
Nikiweka picha yangu na kusema mahali nilipo naomba nikupitie twende wote magogoni kupekenyua ikulu. Niko tiyari kwa ilo
 
Mpuuzi km wewe sijui Kwanini upo katika mtandao huu kwanini hukujiunga na mbwa wenzio wauza nyapu uwanja wa fisi huko
Jambo la kumsaka Roma ni hiari ya mtu sizani kama huku wanahitaji watu kama wewe silaha yako kubwa ni matusi na sio hoja.
 
Asa laana ya ccm inahusika vip na huu uzi wa kumtafuta Roma tulia mkuu punguza jazba.
Kutokujua laana ya ccm inahusika vipi ndio laana yenyewe hiyo!
Maana hata mwenye laana siyo rahisi kutambua ana laana na kujua kuwa afanyavyo ndio ndio laana yenyewe!!..
Narudia maccm mna laana...
Toa tena povu...
 
Back
Top Bottom