Special thread: Kampeni ya kumsaka Roma nchi nzima kila sehemu

Special thread: Kampeni ya kumsaka Roma nchi nzima kila sehemu

Wasanii ..nilitegemea kuona mkutano wenu au mkiwa barabarani kupinga na kutoa tamko kali kuhusu kutekwa kwa Roma....
Ili swala hisipofanyika mikakati madhubuti... Haya mambo yatajirudia kwa wengine...hata Roma akipatikana...hiyo siyo dawa ya kutojirudia kwa wengine...

Wasanii mitandao pekee haitoshi ...nendeni vyombo husika ....na mtowe yake mliyonayo moyoni.. Leo kipele kesho mtatibu jipu...
 
Kama namba yake inapatikana means polisi wanaweza kui-trace na kujua iko wapi kama wanavyowa- trace wanaomsema Mkuu. If this is not done , then polisi wanajua aliko! FINAL AND LOGICAL CONCLUSION
Thats it man.... they have the resources yo track roma..and if they wont,it means they know whats is going on and where he is.
 
Ziwekeni hapa jaman.. wengine tuna uwezo wa ku track hizo number
 
Look mkuu wa mkoa kuwachukua wasanii kukutana nao huku likiwa sambamba na kutekwa kwa Akina Roma this gives out a real picture of some thing arranged ....

Na siasa zimewagawa lakin pia uoga ndio maana unaona kila mmoja anaanndik tu huko mtandaon is over
 
Kila aliye mwanamke akimtazama mke wa Roma anavyoongea ni lazima atalengwa na machozi "Yuko wapi mume wangu"
Kila aliye mwanaume lazima atajiuliza "yuko wapi kijana mwenzetu, mtoto wetu n.k"
Tumuombee na tuwaombee wenzie pia huko walipo wawe salama
*Tukio hili la kupotea kwa vijana hawa linashabihiana moja kwa moja na tukio la kivamizi alilolifanya mwenye mkoa wake, na linatiwa chumvi na vyombo vya dola kushindwa kumchukulia hatua mvamizi, kiasi kwamba sasa hivi hali ya kuteka watu inaanza kuonekana kua ni ya kawaida maana hata vibaka na majambazi sasa wanao mfano mzuri toka kwa mwenye mkoa "kwamba unaweza ukavamia sehemu na usichukuliwe hatua zozote za kisheria kama walivyomuacha huyu jamaa" watu hawana woga tena maana binaadamu yeyote huiogopa hukumu ya madhambi yake kuliko dhambi yenyewe
Kwa hali hii tutarajie uvamizi na utekaji kuendelea maana hakuna mfano wa hukumu ya wavamizi wa roho na maisha ya watu iliyotolewa mpaka sasa
MRUDI SALAMA KAKA ZANGU, TUNAWAOMBEA M/MUNGU AJAALIE MKUTANE TENA NA VIPENZI VYENU
 
Wasanii hawa wanaolumbana kila siku hawana umoja
 
Ni makonda aliesemekana amempiga mzee Wallioba wakati wa mchakato wa Katiba pale Itv,ni makonda alievamia studio za cldz...inawezekna ndio siri ya mkuu wa kaya kumlinda huyu jamaa,lkn zaidi Makonda kuwa na kiburi kwa sbab anajua anyofanya hakuna mwingine anaweza kuyafanya ynahitaji ujichetue
 
Ney wa mitego aeleza kinachoweza kuwa sababu, pia alitaka kumshirikisha kwenye wapo nyimbo iliyopendwa na magufuli
 
Mimi nimethibitisha hili baada ya kuona hii movie ya kijinga waliyocheza tale na makonda ili kupata publicity!
Waache utani kwenye roho za watu!
Binafsi mwanaume ila nilioona anazungumza yule mke wa roma niliuumia kweli moyoni
 
Ukimtulana...mungu mtu kesho tu unapatikana...
Ila hili la sasa..TCRA na polisi haliwahusu
 
Wamilik wa mtandao na,serikali inajua aliko roma
 
''nyinyi si mmenituma? Je mpo tayari kunitetea?''-Viva Roma Viva
 
Back
Top Bottom