Special thread: Kampeni ya kumsaka Roma nchi nzima kila sehemu

Special thread: Kampeni ya kumsaka Roma nchi nzima kila sehemu

Akili zako zimehamia matkon ee?
Nyie maccm mnalaana mbaya sana mjue!
Kwahiyo ccm ndo wamemteka sio?Acha kuleta ushabiki wa kimandazi ! Fikiri mara mbili kabla hujaanza kuongea ujinga ! Vyama vitawatumia tu wao wanapiga pesa na naamini mtu kama wewe hupati hata shilingi kwenye vyama unavyoshabikia .
 
usalama wa wananchi upo wapi.na hii tabia ya kuchukuwaa watu bila taarifa za ndugu na jamaa .si ngeni kwa mtindo huu.je wajibu wetu kama raia kujua sheria.
huyu ni roma leo kila mtu anataka kujua.je makapuku kama sisi..?
 
Wewe ni mtu wa kupuuzwa tu na sidhani kama ni binadamu kweli wewe utakuwa una DNA za fisi lazima. Kwa akili na roho hiyo mbaya!
Binadamu wote wana roho mbaya na nzuri inategemea na akili ya mtu anaehukumu kwa wakati huo . Siwezi kataa maoni yako juu ya roho yangu[emoji38]
 
mpumbavu mkubwa wewe!
Yule ajuaye neno na asilifanye hufananishwa na mpumbavu,naamin kabisa utatoka kwenu kwenda kumtafuta usipofanya hivyo maneno yako yatakurudia (nasubiri kuona mimi na wewe nani hasa mpumbavu
 
Fid Q ameongea vyema saana..ameonyesha ukomavu ndani ya tasnia ya Sanaa...Ukweli ni kwamba watanzania tunapenda kukurupuka ktk kuishututmu serikali...Tukumbuke pia serikali ina maadui zake ambao nao wanatenda kazi vile wapangavyo ijapokuwa serikali inajitahidi kuzuia mengi miongoni mwa mipango hiyo.. [HASHTAG]#AkinaRomaWakoWapi[/HASHTAG]
 
Kwahiyo ccm ndo wamemteka sio?Acha kuleta ushabiki wa kimandazi ! Fikiri mara mbili kabla hujaanza kuongea ujinga ! Vyama vitawatumia tu wao wanapiga pesa na naamini mtu kama wewe hupati hata shilingi kwenye vyama unavyoshabikia .
Wapi nilipo sema hayo uliyosema?
Pumbf kabisa wewe, klaza na punguan wa heed!
Sasa wewe unapata buku7 pale lumumba??
 
Inasikitisha sana kuona kuwa kwa baadhi ya watu hawaoni kama kunatatizo kwa watu kupotea bila ya kupata Maelezo making kutoka ktk vyombo vya dola, halafu watu wengine kulifanyia mzaha tatizo hili!...., kwako wewe kutafuta hela ni muhimu kuliko utu?....something must be wrong in your brain!
Ndo maana vyombo vya dola vikawekwa ni mgawanyo wa majukumu unataka Tanzania nzima tukamtafute! Hapo mwishoni umeweka lugha siyo yetu penda kutumia lugha moja usichanganyechanganye lugha !
 
Nenda tu kamsake ngoja Mimi nisake hela kwanza .Ukimpata mwambie akuweke hata kwenye video yake
Umetoka kuzimu ww? Nahisi we sio binadamu maana kwako usalama wa binadamu mwenzako haukuhusu. Hela utazipata lakini hutazikwa na hata senti 1...
 
Ndio maana polisi wakiuwawa na majambazi watu hufurahia kwani yako kwa ajili ya kulinda interests za CCM shenz. Mkiua kila mtu mtatawala nini sasa
Kumbe ccm walimteka? Ungetueleza vizuri ,Roma ni msanii anahusika vipi na mambo ya chama chao ?kwa nini isiwe mbowe ,Rungwe nembu tuelekeze mkuu
 
Kupigwa mtu tena akiwa kazini kunatisha,kunastua na kunatiashaka usalama wa kila mmoja wetu hapa nchini.

Kumbe hayupo salama kama tunavyo dhani! "Not to that extent" Kwanini?

Roma ni msanii,kioo cha jamii na sauti ya wanyonge. Ni mtu mwenyefamilia na hivyo kuwa na wajibu mkubwa ktk jamii."Baba "

Kutoweshwa kwake huko hakutii dosari ulinzi na usalama wetu nchini na ule wa wasanii tu bali pia wazazi wote, watoto wote na kwahiyo jamii nzima.

Ni vema watu wanaojinasibu kuwa walinzi wa Amani wake na kauli kwa umma za angalau kwamba wamesikia na kunahatua wamechukua.

Aidha kila anayejua chochote juu ya kutoweka watu hao atoe ushirikiano na ushirikiano huo uheshimiwe. Inaumiza sana kukaa kimya huku hatujui nini kinaendelea kwa hao waliotekwa.

TUNAOMBA MUNGU AWATETEE POPOTE WALIPO. TUWAONE SOON WAKIWA WAZIMA.
 
Mtu simu yakee inaitaa... Wanashindwaje kuitrace wajue alipoo..????? Wenye nchi wanajua alipoo... Ilaa tulipofika ni pabayaa sanaa... Kuna haja hata wabungee waingilie katii...wagomee kabisa kuendelea na Bungee mpaka kitakapoeleweka wapi Roma alipoo...
 
Wapi nilipo sema hayo uliyosema?
Pumbf kabisa wewe, klaza na punguan wa heed!
Sasa wewe unapata buku7 pale lumumba??
Sina chama mkuu ! Lumumba wanatoa hizo buku7? au ni msemo ulioukuta humu . Kua kifikira kwanza .
 
Sina chama mkuu ! Lumumba wanatoa hizo buku7? au ni msemo ulioukuta humu . Kua kifikira kwanza .
Kuandika kwenyewe hujui, rudi kwanza darasa la tatu wewe kilaza kisha uje urekebishe hilo shudu lako, ndipo tuende sawa!
Halafu kimtu chenyewe wewe umekuja huku juzi tu, unataka kuleta pumba zako za kolomije!
 
Bashite wengi hata kwenye hili unaleta utaira wako
Bashite huyu mtu wa kufikirika inasemekana ni mkuu wa mkoa wa kufikirika pia elimu yake haieleweki nachompenda alizichanga karata zake vizuri mpka akafika hapo kupitia chama.bora huyu kuliko wewe unayechotwa bila faida yeyote .
 
Back
Top Bottom