Dr Simba
JF-Expert Member
- Apr 27, 2016
- 997
- 1,245
Ww ndio yule aliye mtolea Nape bastola?[emoji35]Nenda tu kamsake ngoja Mimi nisake hela kwanza .Ukimpata mwambie akuweke hata kwenye video yake
Ww ndio yule aliye mtolea Nape bastola?[emoji35]Nenda tu kamsake ngoja Mimi nisake hela kwanza .Ukimpata mwambie akuweke hata kwenye video yake
Uo ubunge kwan lazmaHee mara hii mmeshasahau machungu ya ubunge wa east africa. Hii ndio Tanzania ya matukio
Ulishakalili kinywaji ni viroba eti???Viroba si vilizuiwa lakni. Izo pombe za mchana umenywea wapi? Nani anaongelea kampuni hapa
Ra=laPovu ra nini
Kama kuna mkono Wa serikali,usitegemee watatoa support yoyoteKama Simu Yake Inaita Kwanini Polisi Wasiitafute Sehemu Ilipo?
Kama Kuna Watu Wanaofanya Kazi Kwenye Mashirika ya Simu Wenye Uwezo Wa Kuitazama Simu Inaita Kutoka Sehemu Gani Wanaweza Kusaidia
Tumia akili ndugu yangu, jiulize angekuwa ndugu yako ama ww mwenyewe ndio umetekwa na kupelekwa kusikojulikana!?Povu ra nini
Nenda tu kamsake ngoja Mimi nisake hela kwanza .Ukimpata mwambie akuweke hata kwenye video yake
Hao ndo watekaji wenyewe wanatuchora tu wanafurahia mamlaka waliopewa kwa kodi zetumpumbavu mkubwa wewe!
inabidi tuanzie mwabepande waliko mng'oa meno ulimbokaHuyu kafanyaje tena?Katekwa au kapotea??
Uo ubunge kwan lazma