Special thread: Kampeni ya kumsaka Roma nchi nzima kila sehemu

Special thread: Kampeni ya kumsaka Roma nchi nzima kila sehemu

0717720078 Roma
Wataalam wa IT tuanzie hapo namba ipo hewan lakin haipokelew
 
Mimi nimethibitisha hili baada ya kuona hii movie ya kijinga waliyocheza tale na makonda ili kupata publicity!
Waache utani kwenye roho za watu!
Binafsi mwanaume ila nilioona anazungumza yule mke wa roma niliuumia kweli moyoni
Kiukweli inaumiza mnoo
 
Hii nchi vyombo vya usalama sio usalama.

Kama Simu Yake Inaita Kwanini Polisi Wasiitafute Sehemu Ilipo?

Kama Kuna Watu Wanaofanya Kazi Kwenye Mashirika ya Simu Wenye Uwezo Wa Kuitazama Simu Inaita Kutoka Sehemu Gani Wanaweza Kusaidia
 
Itafikia hatua nikiwaona polisi nakimbia tu maana kiujambaz jambaz tuu mi ctaki uchichezi nisije potea kama ben
 
Nchi yetu inatisha mnooo! Tanzania yetu imepoteza muelekeo kabisa wengi wanaishi kwa hofu kubwa sana hawana tena amani katika maisha yao.

Mimi nimethibitisha hili baada ya kuona hii movie ya kijinga waliyocheza tale na makonda ili kupata publicity!
Waache utani kwenye roho za watu!
Binafsi mwanaume ila nilioona anazungumza yule mke wa roma niliuumia kweli moyoni
 
Maneno bwana mtu yanamtoka tu,eti afanye msako nchi nzima hihihi,haya ndo yanaitwa maneno.
 
Wewe ni mtu wa kupuuzwa tu na sidhani kama ni binadamu kweli wewe utakuwa una DNA za fisi lazima. Kwa akili na roho hiyo mbaya!
yani wewe ndo kabisa boya...saka hela wenyewe waliomchukua watamleta.Yuko kwenye mikono salama,haezi fanywa kama ulimboka
 
duh operesheni kimbunga haikufanya kazi kabisa kuna kupe wawili wanasumbua sana
 
Binafsi Nina wasiwasi na free Mason. Kitendo cha kuwakaribisha hapa Tanzania ni kuharalisha MAOVU yao, Kwani ibada zao huambatana na kutoa kafara. Vyombo vya ulinzi viangazie na mtandao huu Kwani kwa tz ni kitu kipya. Hawa jamaa ni hatari Sana Kwani mtandao huu huhusisha matajiri wakubwa na viongozi wakubwa. Siro angalia na Hili.
 
Kapimwe kwanza ndipo uje jukwaani
Nafikiri ushauri huu unakufaa zaidi wewe! Kumsaka Roma ni hiari kama alivyosema mleta Uzi . Kibaya zaidi unaenda kutafuta mtu ambaye hujui kisa cha kupotea kwake,asa nani wa kupimwa?
 
Binafsi Nina wasiwasi na free Mason. Kitendo cha kuwakaribisha hapa Tanzania ni kuharalisha MAOVU yao, Kwani ibada zao huambatana na kutoa kafara. Vyombo vya ulinzi viangazie na mtandao huu Kwani kwa tz ni kitu kipya. Hawa jamaa ni hatari Sana Kwani mtandao huu huhusisha matajiri wakubwa na viongozi wakubwa. Siro angalia na Hili.
Hivyo ni vitu vya kufikirika tu
 
Back
Top Bottom