MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
- Thread starter
- #81
...ama?...hahahaha...waifananisha/kuilinganisha retreat yangu na ya mwanajamiione nini?
hapana, yangu ilikuwa majuzi...ya mwj1 sijui yaliyomsibu wala lini...lol!
Umeona eh, Mzee DC anataka kuunganisha dots ambazo ni very scattered eti anataka apate msitari ataoupata ulio linear!!
Yangu ni ya muda kidogo but impact yake mpaka sasa naifeel!! na bado natafuta jinsi ya ku'shukuru'!!! Ila yako ya huko Mbugani mh, umenitamanishaje!!