Special message to Mama Janeth Magufuli

Special message to Mama Janeth Magufuli

Unajua wabaya ndio hujishuku bila kutajwa. Mzee alikuws anajisahihisha baada ya kusema mama asipofika 2025 Mungu ataleta mwingine ndipo akachomekea wazuri huwa hawafi. Sasa kwa muktadha huo alikuwaambiaje anamuongelea Magufuli au anamsifia mama kwamba ni mzuri hatakufa mapema.

Tuache kuishi in denial.
Kwa hiyo kama ndio akachomekea wazuri huwa hawafi, ni sawa na kumaanisha kitu gani kwa waliokufa?

Punguzeni haya mahaba yenu, mnazidi kumuharibu huyo mzee.
 
Ubaya kuna mambuzi yanadhani yanamtonesha machungu tu mjane kumbe ni vidonda vimejaa mioyo.ya watanzania

Kweli Kama uchungu tuliouopata CHADEMA baada ya kuuawa kwa Saanane. Machozi ya mjane wa Saanane yalileta matokeo mazuri.
 
Alikuwa
Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!"
Mwenye hii clip tafadhali

Niwe mkweli simpendi mzee makamba lakini Jana alikuwa ana muongelea mama. Huyo Magufuli ni tafsiri tu imetokea kwa hofu na aibu.
 
The truth is, Samia ameomba radhi kwa kauli aliyoitoa Mzee Makamba kwasababu alijua Makamba alikosea, hapa msijaribu kumtetea Mzee Makamba.

Kwa kinywa chake, hakutakiwa kutoa kauli ile ya "watu wazuri hawafi" kwenye mazingira tuliyopo, mbele ya Mama Janeth Magufuli, na Mama Mkapa, msikwepeshe huu ukweli kwa kujaribu kulipaka kosa mafuta, mwambieni huyo mzee apunguze kuropoka.

Mbona mama kaeleza vizuri kuwa hakuwa na nia mbaya alikuwa anajaribu kusahihisha aliposema Mama asipoweza asifike mwaka 2015 Mungu ataleta mwingine mzuri, ndipo akachomekea wazuri huwa hawafi.
 
The truth is, Samia ameomba radhi kwa kauli aliyoitoa Mzee Makamba kwasababu alijua Makamba alikosea, hapa msijaribu kumtetea Mzee Makamba.
We jamaa una matatizo kishenzi...

Umeangalia posts zangu zingine au unaropoka tu?
Kwa kinywa chake, hakutakiwa kutoa kauli ile ya "watu wazuri hawafi" kwenye mazingira tuliyopo, mbele ya Mama Janeth Magufuli, na Mama Mkapa, msikwepeshe huu ukweli kwa kujaribu kulipaka kosa mafuta, mwambieni ukweli huyo mzee abadilike.
Ujinga mtupu
 
Man,

Hao akina MTAZAMO wanajiona wao ndo wana uchungu zaidi na JPM kuliko hata Mama Janeth mwenyewe!!

Ni kutokana na hilo ndo maana wakiona mtu anaongea wasichotaka wao kukisikia basi wanamuona ana chuki dhidi ya JPM

In short, source ilikuwa hotuba ya Mzee Makamba, na kama kawaida yao, akaanza kumwagia sifa Samia! Wakati akiendelea na hizo sifa, ndipo akasema maneno haya:-

Baada ya kuongea hayo hadi JK akashika kichwa...

Sasa Mzee Makamba akaona amekosea kusema "Ukiondoka kabla ya 2025 Mungu atatupa mtu mwingine" na katika kujikosha, ndipo akasema maneno haya:-

Sasa akina MTAZAMO ndo wanaona Makamba kamaanisha Magufuli alikuwa mtu mbaya ndo maana amekufa kumbe alikuwa anajikosha kutokana na kauli yake kwa SSH kwamba akiondoka kabla ya '25 Mungu atawapa mtu mwingine...

Cha ajabu, hata Mzee Mkapa amefariki... lakini kutokana na paranoia, wao wanaona kasemwa JPM...

Msikilie mwenyewe hapa...


Hii kauli no tata sana, isine kuwa wanataka kumuondoa bi mkubwa ili akina Jr wapete nafasi ya kusimama 2025
 
The truth is, Samia ameomba radhi kwa kauli aliyoitoa Mzee Makamba kwasababu alijua Makamba alikosea, hapa msijaribu kumtetea Mzee Makamba.

Kwa kinywa chake, hakutakiwa kutoa kauli ile ya "watu wazuri hawafi" kwenye mazingira tuliyopo, mbele ya Mama Janeth Magufuli, na Mama Mkapa, msikwepeshe huu ukweli kwa kujaribu kulipaka kosa mafuta, mwambieni ukweli huyo mzee abadilike.
Huyo ni miongoni mwa hio timu Wana roho mbaya sana.
 
Kwa hiyo kama ndio akachomekea wazuri huwa hawafi, ni sawa na kumaanisha kitu gani kwa waliokufa?

Punguzeni haya mahaba yenu, mnazidi kumuharibu huyo mzee.

Please Mimi Sina mahaba na huyo mzee tangu alipokuwa katibu mkuu CCM na Mimi CHADEMA. Tangu kipindi hicho siivi na mzee makamba. Ila kwenye ukweli tuseme. Mzee makamba hakumuongelea Magufuli per se, issu ya Magufuli imekuja na kujishtukia.

Ni sawa mtu ana VVU halafu atokee Rafiki yake aseme tujihadhari na ukimwi ndugu zangu. Yule mwathirika atajishtukia kwamba anasemwa yeye.
 
Umenielewa?. Magufuli ndiye mgombea urais wa CCM aliyepata asilimia chache za kura kuliko mgombea yeyote wa CCM . Mwaka 2015 alipata asilimia 58 pekee. Inaa maana upinzani walikuwa wanapambania asilimia nane tu wagawane nunu kwa nusu na ccm.

Ndio maana alipoingia tu akazuia mikutano ya hadhara. Na pia kutumia muda mwingi kujitangaza kwenye vyombo vya habari. Hivyo uchaguzi wa 2020 aliamua kupambana ili yasimtokee ya 2015. Kura aliiba nyingi Sana, na mwishowe ikabidi aondoke tu.
Uharo. Hivi hujui bila mJPM kusimama 2015 upinzani walikuwa wanachukua nchi
 
We jamaa una matatizo kishenzi...

Umeangalia posts zangu zingine au unaropoka tu?

Ujinga mtupu
Hizo post zako nyingine nimeziangalia ndio nikaona hazina maana kabisa.

Nimekuona unavyomshambulia MTAZAMO kwa sababu hapo awali alikuwa anampenda sana Dr. Slaa zaidi ya Chadema, kama vile kwasababu hiyo hakutakiwa kutoa maoni yake kuhusu kauli aliyoitoa Mzee Makamba jana, na ukabahatika kuwapata wajinga walio ku-support.

Punguzeni mahaba yenu yasiyo na maana, ukweli lazima usemwe, wala msije na visingizio vyovyote vya kipuuzi, hili sio jukwaa la kundi la wajinga.
 
Back
Top Bottom