Special message to Mama Janeth Magufuli

Special message to Mama Janeth Magufuli

Hao sio wazima. Kuna watu sio wanasiasa,sio wafanyabiashara,sio waandishi wa habari wala Magufuli hakuwa akiwajua ila et nao wanakwambia walikuwa wanaishi kwa hofu ya kutekwa na Magufuli.
sasa hofu yao ilikuwa ya nini au walikuwa na hofu ya kujiteka wenyewe kama yule diwani Rwakatare!
 
Tanzania hakuna tofauti ya kuwepo kiongozi anayeitwa dikteta au asiyeitwa dikteta, ndio maana sasa hivi huyo dikteta hayupo na hakuna tofauti kubwa yeyote labda kwa hao akina Makamba.
Tofauti kubwa ipo. Sema kwenu nyinyi mliokuwa mnafaidika na utawala wa kiimla wa Magufuli,hamuwezi kuona Kwa sababu ya mahaba.

Kwa viwango vyovyote tofauti ni kubwa mno!
 
Tofauti kubwa ipo. Sema kwenu nyinyi mliokuwa mnafaidika na utawala wa kiimla wa Magufuli,hamuwezi kuona Kwa sababu ya mahaba.

Kwa viwango vyovyote tofauti ni kubwa mno!
Eleza hizo tofauti kubwa zilizopo sasa Tanzania toka andoke kiongozi aliyesemwa kuwa ni dikteta.
 
Kauli ya Mzee Makamba ingetosha kabisa kuamsha varangati za kikabila katika mataifa kama Nigeria, Sierra Leone au Liberia, yaani pasingelalika.

Watanzania tumekuzwa katika misingi ya kijamaa ya kusameheana na haya yanasahaulika kadri muda unavyokwenda.
Ulisikiliza mwanzo mwisho wa kipi hasa aliongea Mzee Yusuf Makamba au marejeo yako ni haya yanayosemwa na Wafiwa wa JF?!
 
Usinihusu vipi akati unaandika ujinga. Kama huna hoja ya maana usiilete JF, ukileta hoja ya kpumbavu utachez4a za uso. Nenda kaandike huko facebook kwa vichwa maji wenzio
Sikia we kiazi shida ni uchawa wa kipumbavu au ni kwel huna akili timamu ndio maaana hujaona kama hajamshambulia magu ila wenye akili ata raisi wako alijua anamaanisha Nini ila wewe chawa usiejielew umeshindia viporo vinasumbua tumbo unakuja kusumbua uku
 
Katika bara la Afrika Wanaojulikana Viongozi wazuri wanao watetea Wananchi wao walikuwa ni viongozi 5 tu Wa Kwanza Alikuwa Hayati Baba wa Taifa Mwalim Nyerere, Wa pili alikuwa Mzee Nelson Mandela ,Wa Tatu alikuwa ni Kiongozi wa Ghana Kwame Nkurumah, Wa Nne Alikuwa ni Kiongoz wa Libya Kanali Muammar Qaddafi na Wa Tano alikuwa Kiongozi wa Tanzania Doctor John Pombe Magufuli. Na Waliobakia ni Ma-Rais wa nchi tu wanachaguliwa na vyama vyao kuongoza nchi kwa muda malum na muda wao ukimalizika wanaondoka Madarakani wanakuja Ma-Rais wengine Tofauti na Kiongozi wananchi yeye anachaguliwa na Wananchi ili apate kuwaongoza Wananchi wake. Na hata kama akifa bado Kiongozi mzuri huwa anakumbukwa kwa wema wake juu ya Wananchi tofauti na Rais akifa watu hawakawii kumsahau.



View attachment 2440784
Sauti ya mamlaka. Nimemkumbuka sana Rais Magufuli. RIP
 
Punga mama yako mzazi aliyezaa kiazi, kwa mwenye akili anayetumia makalio idadi ya waliodhulumiwa uhai ni ya kutafuta wakati wa shetani?
Nani alikamatwa kwa kifo cha Akwilina?
Wengi wakina nani wataje hapa na Mimi nikutajie waliopotea awamu ya nne punga wewe
,
 
Kwenye kutangazwa mshindi ndio penye tatizo, hapo ndio ccm panapo wafanya waendelee kubaki madarakani, sasa wewe ambaye ulikuwa unasubiria kumzidi ccm kwa kura nyingi kwenye uchaguzi ndio nakuuliza nani atakutangaza wewe kuwa ndio mshindi au ndio yale ya marehemu Maalim Seif ya kujitangaza mwenyewe?

Ndiyo maana nakwambia kuwa ccm wamejimilikisha hiyo nafasi ya urais kuwa ni yao tu kivyovyote vile, watu wanasema ccm wanategemea dola kubaki madarakani watu wanataka tume huru ya uchaguzi yote hayo kwa sababu wameona tatizo lilipo. Ila wewe unaniambia mie napotosha na kwamba et upinzani kura zao zilikuwa zinaongezeka hivyo unaamini ingekuja kutokea upinzani kupata kura nyingi za urais na kupata urais!

Elewa kwamba tatizo sio ccm kuiba kura tu bali ni kwamba ccm wanatumia njia zozote zile ili kubaki madarakani, we kubali tu ukweli wa kwamba ccm wanawaanchia ubunge na udiwani ndio mgawane ili kubalance ila sio urais.
Hoja yako ni nini sasa we sukumagang? Kwamba tatizo siyo CCM, unaosema wanaachia ubunge na udiwani kubalance wanafanya kwa sheria ipi?
Kwa mamlaka ipi?
Hoja unapinga nini hapo?
 
Kwani kiongozi aliyekufa ni jiwe peke yake? Mkapa, Nyerere, Kawawa, Karume, n.k hawakuwa viongozi?

Acheni kusambaza uzushi na uzandiki. Lkn bahati nzuri hamna cha kumfanya
Sukumagang wanaliona jambazi lao tu
 
hapo kwa Janet uwa Sina shida nae.
angekuwa sio mzee ningemuoa.awe mke wanguu
 
Pole sana, Mama Janeth Magufuli.
Yule Baba tulimpenda sana na bado tunamkumbuka na tutaendelea kumkumbuka daima.
Alijitoa SADAKA kwa ajili ya Watanzania wanyonge. Sadaka yake ni takatifu mno. Hata kama alijua nini kinaweza kumpata, lakini alisonga mbele kuwapigania Watanzania wanyonge.
Mungu ampumzishe kwa amani.
Kwa kuwapiga risasi na kuwatengenezea wasiojulikana ili kuwateka wanaotofautiana mtazamo? Alimuwajibisha aliyemuua Akwilina?
Afe tena huko aliko watanzania wenye akili tynamshukuru Muumba wetu kutuondolea chinja chinja
 
Tanzania hakuna tofauti ya kuwepo kiongozi anayeitwa dikteta au asiyeitwa dikteta, ndio maana sasa hivi huyo dikteta hayupo na hakuna tofauti kubwa yeyote labda kwa hao akina Makamba.
Acha au ficha ujinga wako, toka muuaji wenu afukiwe nani ametekwa, kashambuliwa au kuuawa?
Nani kapotea kama Ben Saanane na Azory Gwanda?
Sukumagang kama mmerogwa vile
 
Hoja yako ni nini sasa we sukumagang? Kwamba tatizo siyo CCM, unaosema wanaachia ubunge na udiwani kubalance wanafanya kwa sheria ipi?
Kwa mamlaka ipi?
Hoja unapinga nini hapo?
Siongei na wewe mkuu.
 
Acha au ficha ujinga wako, toka muuaji wenu afukiwe nani ametekwa, kashambuliwa au kuuawa?
Nani kapotea kama Ben Saanane na Azory Gwanda?
Sukumagang kama mmerogwa vile
Watu gani au kundi gani la watu ambalo walikuwa wanatekwa, kushambuliwa au kuuwawa mfululizo kwa kipindi chote cha Magufuli ili tuangalie sasa kuwa wako salama toka andoke Magufuli?
 
Unatafuta nini huku hadi uchague wa kukujibu?
Huko Chato hakuna forum yenu pekee?
Ni uhuru wangu lakini wa kuchagua wa kuongea nae humu, sidhani kama ni sahihi kulazimisha mtu mwengine aongee na wewe.
 
Back
Top Bottom