UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,506
- 8,803
Hata nikipata picha ya mumeo au mkeo mie naweza kuifanya avatar yangu, sina mbaya.Kama yeye hakuhusika ni nani aliyekamatwa kuhusika na matendo haya wakati wa utawala wake?
Aliyemuua Akwilina aliwajibishwa?
Waliomshambulia Lissu walikamatwa?
Nikikuita mpumbavu siyo kama nakosea nina hakika na upumbavu wako, tetea maslahi mapana ya jamii unayoishi siyo ya mtu.
Naona baada ya spana hata avatar yako umebadilisha picha ya muuaji kweli wewe chizi
Ona sasa, Akwilina alikuwa tishio gani kwa Magufuli hadi useme kifo chake anahusika Magufuli? Kwamba Magufuli aliagiza auliwe Akwilina ndio muuwaji hakukamatwa?