MMagufuli hakuwahi kusema kuwa aliwateka au kukataa kuwa hakuwateka, hivyo tunajaribu kuangalia ni watu gani waliyokuwa wanatekwa na sababu gani hadi wakawa wanatekwa? Mfano humu JF wapo watu ambao wanasema walikuwa wanaishi kwa mashaka ya kutekwa na Magufuli ila tupo wengine ambao hatukuwa tukiishi na hayo mashaka, ndio maana nauliza ni watu gani ambao ndio walikuwa wanatekwa au sababu zipi zilikuwa zinafanya uweze kutekwa?
Unakusudia akina nani katika watu milion 60? Mfano wewe kitu gani kilikufanya usiishi kwa amani kuhofia utatekwa?Nyie mlikuwa mnamsifu na kumuabudu ndio maana mliishi kwà amani
M
Kashaoza mbwa yuleTumuweke Mo kundi la matajiri,Roma kundi la wasanii.
Je, katika miaka mitano ya Magufuli walitekwa matajiri wangapi na wasanii wangapi?
Ila kuna watu wanatamani afufuke ili wampige japo kofi ili hasira ziishe.Kashaoza mbwa yule
Makamba senior alimtajaAcha uchochezi na uchongqnishi mleta mada. Hakuna aliyemnanga jiwe leo. Hayo ni mawazo yako tu.
Hebu mtaje mtu aliyemtaja jiwe kwa jina lake. Vinginevyo ni uzushi na uzandiki tu unaojaribu kuueneza.
Mema yake yalikuwa ni yapi kwenye uongozi wake?Huyu Mama kwa muonekano ni muungwana,mtu wa Mungu na Mvumilivu ingawa kiuhalisia simfahamu.
But katika hili Watanzania tupunguze unafiki, Mateso ya Jiwe yalimpata kila mtu nadhani hata huyu Mama ndiyo maana ukimuangalia muonekano wake umebadilika,kwa wanaotizama mbali yule mtu alikuwa anaingiza Taifa kwenye Crisis kubwa kama ile ya Nyerere miaka ya 90.
Alikuwa na Mema yake ila he was not a Good Leader at all kwasababu alikosa maamuzi ya hekima na busara,na pia hakuweza kuangalia Capacity ya nchi kuhandle Consenquences za Maamuzi yake hasa kwa miaka ya mbele.
Kuna clip moja ya mwezi September imemuonyesha mjane wa Magufuli, Mama Janet akiwa anacheza mapambio na wana gospel music wengine. Alionekana amenawiri, mwenye furaha na mtu huru. Hakika sijawahi kumuona akiwa na appearance ile wakati mumewe yuko Ikulu.Habari mama,
Pole sana kwa msiba wa mumeo!, alikuwa great leader na wananchi wengi wanamkumbuka kwa utumishi wake ingawa ulikuwa mfupi kuliko kiongozi yeyote aliyetawala nchi yetu.
Hiyo Pole niliyotoa ni ya kawaida kwasisi binadamu maana wote tumefiwa wapendwa wetu lakini lengo kuu ni Pole kwa unayosikia na kuona kejeli na kubagazwa kwa marehemu mume wako hadharani bila woga tena kwa mambo mengine yasiyo msingi.
Sikia mama, mume wako alitimiza wajibu wake bila kujali pale alipokosea lakini wewe u hai ubavu wake ukisikia maneno magumu sana. Pengine unalazimika kuwatia moyo watoto lakini wewe mwenyewe umebeba mzigo mzito.
Imagine hata leo maneno yaliyotamkwa mbele yako! Tushukuru mama Samia walau kutuliza moyo wako baada ya maneno magumu leo lakini sio rahisi.
Endelea kuvumilia malimwengu, endelea kuipenda Tanzania! Jipe moyo kama Bikira Maria alivyojipa moyo alivyoshuhudia mwanae akiteswa na kufa msalabani!
Endelea kujipa moyo kama Bikira Maria alivyovumilia hata waliomtenda ubaya Yesu walipoeneza uzushi dhidi yake kuwa wanafunzi wake wamemwiba hakufufuka. Haikuwa rahisi ila moja ya tunu tunayojifunza juu ya Bikira Maria mara nyingi ni yote aliyaweka moyoni!
Kasome utenzi wa Bikira Maria Luka 1: 46-55 Ukutie nguvu. All shall be well 🙏
Kwa nini hutaki kutumia akili hata kidogo, kwani utekaji ni sheria, kanuni au taratibu hadi atangaze hadharani kuwa anawateka?Magufuli hakuwahi kusema kuwa aliwateka au kukataa kuwa hakuwateka, hivyo tunajaribu kuangalia ni watu gani waliyokuwa wanatekwa na sababu gani hadi wakawa wanatekwa? Mfano humu JF wapo watu ambao wanasema walikuwa wanaishi kwa mashaka ya kutekwa na Magufuli ila tupo wengine ambao hatukuwa tukiishi na hayo mashaka, ndio maana nauliza ni watu gani ambao ndio walikuwa wanatekwa au sababu zipi zilikuwa zinafanya uweze kutekwa?
Hapa mimi siko katika agenda ya kutetea yeyote kama wewe, nionyeshe mahala popote nilipoterea serikali za CCM zilizopita au zilizopo ?Kwani Dr Ulimboka alijisikiaje aliposikia kwamba watu wazuri hawafi halafu akatajwa Kikwete kuwa ni katika watu wazuri?
Ukizungumzia suala la hisia kila mtu ana zake ndio maana watu walimwaga machozi katika msiba wa Magufuli na kila mtu alimuelezea Magufuli kwa aina yake.
Kwenye kile kikao cha wahuni nilitamani kupata fursa ya kumnongoneza mjane aondoke kwenye kikao ili wajimwage zaidiHiyo Pole niliyotoa ni ya kawaida kwasisi binadamu maana wote tumefiwa wapendwa wetu lakini lengo kuu ni Pole kwa unayosikia na kuona kejeli na kubagazwa kwa marehemu mume wako hadharani bila woga tena kwa mambo mengine yasiyo msingi.
Sikia mama, mume wako alitimiza wajibu wake bila kujali pale alipokosea lakini wewe u hai ubavu wake ukisikia maneno magumu sana. Pengine unalazimika kuwatia moyo watoto lakini wewe mwenyewe umebeba mzigo mzito.
Kipindi hiki walipotea wengi pia: hatukuwasikia kwakuwa kundi lenye viherrehere na kidomodomoi ndilo lilikuwa in actionKwani Dr Ulimboka alijisikiaje aliposikia kwamba watu wazuri hawafi halafu akatajwa Kikwete kuwa ni katika watu wazuri?
Wewe unaeleza kama kitu ambacho kimethibitika vile kwamba Magufuli ndio muhusika.Kwa nini hutaki kutumia akili hata kidogo, kwani utekaji ni sheria, kanuni au taratibu hadi atangaze hadharani kuwa anawateka?
Hiyo ni kazi ya watetezi wake mueleze kwa nini aliwareka. Mimi kama mtanzania ambae natagemea serikali iwalinde raia wake nashangazwa kuona wanatekwa wanashambuliwa hata kuuliwa na serikali ikiwa mshukiwa mkuu.
Kabla yake na baada yake mbona hatukuwahi kusikia utekaji na matumizi mabaya ya mamlaka, kuonyesha huna afya ya akili unaniuliza kwa nini aliwateka.
Nasisitiza kutetea upumbavu lazima uwe mpumbavu kuuzidi
Haumini kwenye kutofautiana mitazamo na ndio maana unataka watu wote tuwe na mitazamo sawa kuhusu Magufuli na hilo ndio linafanya uone mie natetea maovu.Hapa mimi siko katika agenda ya kutetea yeyote kama wewe, nionyeshe mahala popote nilipoterea serikali za CCM zilizopita au zilizopo ?
Uovu wa Magufuli unasemwa kama vile uovu wa Kikwete na hata wa Samia unavyosemwa, ila wajinga kazi wanayo ya kutetea maovu
Hakuna sehemu yeyote umeonyesha kukereheka na kuumizwa na matendo yake ya kikatili, hili siyo suala la mtazamo bali ukatili juu ya ubinadamu. Na kama hutatizwi na haki za binadamu na kuthamini uhai wao basi you are worse kuliko muuaji mwendazakeHaumini kwenye kutofautiana mitazamo na ndio maana unataka watu wote tuwe na mitazamo sawa kuhusu Magufuli na hilo ndio linafanya uone mie natetea maovu.
Kama yeye hakuhusika ni nani aliyekamatwa kuhusika na matendo haya wakati wa utawala wake?Wewe unaeleza kama kitu ambacho kimethibitika vile kwamba Magufuli ndio muhusika.
Tuonyeshe waliopotea ni kina nani kwa mfano hizo habari zenu za Chato ziwekeni wazi tulinganishe na huyu muuaji.Kipindi hiki walipotea wengi pia: hatukuwasikia kwakuwa kundi lenye viherrehere na kidomodomoi ndilo lilikuwa in action
Bado unaendelea kuonesha kutokuamini kwenye kutofautiana mitazamo, hapa tunajadiliana kila mmoja ana mtazamo tofauti na mwenzie ila wewe unasema et sioneshi kukereka na hayo madai ya ukatili wa Magufuli. Kimsingi unachosema ni kwamba sikubaliani na wewe.Hakuna sehemu yeyote umeonyesha kukereheka na kuumizwa na matendo yake ya kikatili, hili siyo suala la mtazamo bali ukatili juu ya ubinadamu. Na kama hutatizwi na haki za binadamu na kuthamini uhai wao basi you are worse kuliko muuaji mwendazake