mkulimamiwa
JF-Expert Member
- Mar 4, 2025
- 2,254
- 4,466
Sowah ni mchezaji mzuri, katika kuendelea kudhihirisha kile alichonacho, anahitaji kurekebisha vitu vichache tu
Sowah, anahitaji kutengeneza kitu kinaitwa Nidhamu, katika kujenga uwezo wa kipaji na kukipalilia, mtu yeyote anahitaji ajiheshimu na kuheshimu wengine hata kama ni kwa jambo lisilohusu fani aliyonayo
Mwanzo wa kupoteza kipaji cha mtu, ni kukosa nidhamu, katika kukosa nidhani, ni sababu pia ya kukaribisha na kujitengenezea maadui katika fani yako
Ndugu zanguni, nafahamu, kuna wale ambao huwezi kuwaambia juu mchezaji Sowah na kile amefanya kwa kuchana picha ya Rais wa Yanga, lakini pia, kuna wale huwezi kuwambia chochote kumhusu Heresy Rais wa Yanga, wapo kumlinda, kumpigania na kumtetea kwa nguvu zao zote na kwa hali na mali
Wapo tayari hata kuroga mtu, kisa katendwa vibaya, hata kama kwa utani utani hivi
Sowah, anahitaji kubadirika hasa anapotaka kuishi na jamii za mataifa mbalimbali za watu
Sowah, anahitaji kutengeneza kitu kinaitwa Nidhamu, katika kujenga uwezo wa kipaji na kukipalilia, mtu yeyote anahitaji ajiheshimu na kuheshimu wengine hata kama ni kwa jambo lisilohusu fani aliyonayo
Mwanzo wa kupoteza kipaji cha mtu, ni kukosa nidhamu, katika kukosa nidhani, ni sababu pia ya kukaribisha na kujitengenezea maadui katika fani yako
Ndugu zanguni, nafahamu, kuna wale ambao huwezi kuwaambia juu mchezaji Sowah na kile amefanya kwa kuchana picha ya Rais wa Yanga, lakini pia, kuna wale huwezi kuwambia chochote kumhusu Heresy Rais wa Yanga, wapo kumlinda, kumpigania na kumtetea kwa nguvu zao zote na kwa hali na mali
Wapo tayari hata kuroga mtu, kisa katendwa vibaya, hata kama kwa utani utani hivi
Sowah, anahitaji kubadirika hasa anapotaka kuishi na jamii za mataifa mbalimbali za watu