South Africa msije Sio kuzuri

South Africa msije Sio kuzuri

Mimi siku nachangia hapa kumshauri huyu ndugu asiende huko nilitukanwa sana na Mfalme wa Kiha! Sasa nyoko zake yamemshukaaaa!!
 
Ugumu unakuja sababu vijana weng waliopo south weng wao hawajasoma wameishia std 7 sasa usitegemee kupata kaz ya maana sana sana utaambulia kubeba mizigo angalau kidogo uwe unakipaji labda fundi ..kingne kinachowaalibu watz weng hawana mioyo ya kusaidiana wanachukiana wenyewe kwa wenyewe hawasaidian kama raia wa nchi zingne pia wamezid kuvuta bangi sana na kuziuza na usela umezid ...maisha kote magumu usiwakatishe wengne moyo Maisha ni kujaribu

Sent using Jamii Forums mobile app
Fact.
 
Ungeweka insimple word tu kuwa " MASIKINI WASIJE KWA KABURU"
 
Nafikiria naweza kkusaidia nauli km unaitaji kurudi nyumbani nicheck pm au kazi km utaitaji kuishi hapa bado. nipo East London
 
Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije

Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana wengi hasa wa Tanzania wanateseka Jamani
Sijui nisemeje, asie Sikia la mkuu basi azamie tu. View attachment 569601View attachment 569602
Wapo walio sema nimekufa Ila Mimi najichanga nirudi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Osha na vyoo pmj na kuwatawaza wtt matako yao
Kiherehere gani kilichokupeleka huko??
Mapumbavu mnooo haya yanayo penda kukopy na kupaste kustol away
Nini umekosa kwenu wewe?? Hadi unajiripua ukiwa huna elimu hujaingia officially nchini kwa watu maisha gani utakayoishi huko,,,
Manji au bakhresa au Mengi wakiambiwa wapewe passport ya America ili wakane uraia wa Tz hawatakubali Ng'oooo!!!
Kwasbb wanajua wazi hakuna kama Tz
Ije kua kapuku wewe unapakimbia kwenu??nabado kazibue na karo ya choo ya hao makaburu
 
Kuteseka ni hatua ya kwanza ya kufikia mafanikio, pambana utatoboa tu.
Uko Tz nako kila mtu analalama maisha magumu.
Mkuu ni heri kulala njaa nyumbani kuliko ugenini.Si kila mateso unayoyapitia ni hatua ya kuelekea kwenye mafanikio.Mafanikio ni suala mtambuka na tajiriba ya mtu binafsi.Huyo jamaa arudi nyumbani aje choma ata miongo anaweza tusua.
 
Pole sana mkuu,rudi tu nyumbani, maisha yako huku,ila natumaini umeshajifunza vya kutosha.Tulikuwa tunadanganyana sana miaka ya nyuma kuwa ili utoke ni afadhali uende kuishi ughaibuni,kwa sasa hivi ni tofauti,njoo upige kazi hapa nyumbani,utatoka na maisha ni matamu ajabu.Tuna kila kitu kizuri ambacho zamani ili uvione ni lazima kwenye movie au magazeti ya nje,tuna Express commuter buses,rotating restaurants,skyscrappers,flyovers,hanging bridge,wengine waongezee...
unkown killers, hit men etc.
 
rudi bhana uje utusimulie story za "jobegi"....mi huwa napenda kusikiliza story za mabaharia.
 
Mkuu ungepambana kidogo. Tafuta watu wa jamii za kitanzania wanapatikana wakuoneshe michongo ila iwe ya kihalali. Ila kama ushafanya yote na ime bounce basi rudisha mpira kwa kipa Tz. Ujipange tena.
asije akayavaa huko maana hawachelewi kukataana
 
Mkuu huku kwenyewe vyuma vimekaza si masihara,komaa huko huko dizonga mkuu
 
Sio kweli haupo SA umepata rand sehemu na kuzipiga Picha wewe kila nyuzi zako ni kutunga uongo tuu hiyo rand 200 unapata Simu ya kuparaza wewe hauna Simu...endelea kudanganya Simu utahitaji msaada utakosa kwa mambo yako hayo..
Mkuu south unapata simu ya touch kwa R200? Basi maisha mepesi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom