South Africa msije Sio kuzuri

South Africa msije Sio kuzuri

Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije

Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana wengi hasa wa Tanzania wanateseka Jamani
Sijui nisemeje, asie Sikia la mkuu basi azamie tu. View attachment 569601View attachment 569602
Wapo walio sema nimekufa Ila Mimi najichanga nirudi.

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE


Pambana mtu wangu acha uoga huo sehem zote duniani ni ngumu ila kuna zenye matumaini kama hizo uliopo.. Yani hapo mi unanitamanisha nikiona hizo Rand hapo maan na nikibadili na hela zetu ka elf 60 kananihusu..hela yetu haina thamani kabisa asee,, we jichange ila usirudi bongo nakwambia ni pa hovyo sana hutajuta kwanini ulirudi Pambana tu.
 
MKUU, INA MAANA HATA KAZI YA KUTUNZA BUSTANI HUJAPATA?

ILA ID YAKO INAKUDIRECT SEHEMU INAYOKUFAA.. KIJIJINI

HALAFU KAMA UMESHNDWA KUTUSUA SOUTH, BONGO NDO UTAPOTEA JUMLA
Absolutely.. Yani south ndio chuo kwa upambanaji wa maisha, sasa ukifeli ukarudi bongo asee hutajuta.mi na mfano wa jamaa mmoja alirudi bongo kutok SA maisha yake kwa sasa yamekuw magumu maradufu sabab ni kwamba kule south alikuwa anapiga hela lkn starehe zinakuwa nyingi na pia alisema ukipata kazi kule hela unaiona sasa shida kwenye matumizi kama hauko makini ndio unafeli.. Sasa kuja bongo kila kazi akitafuta zinafeli hapati na hapo ndio ugumu maradufu uanzia.
 
Huyo mtu kama kweli yuko sauz namhurumia..maisha ya hapa c mzaha na vijana wengi wa kibongo madawa yanawaua.ila si wabongo wote wanateseka.kama aliingia bila plan atahangaika saana.arud hukohuko kijijin akalime.hiv mashamba yameisha?
Mku vipi zile issue za kupiga simu za under ground bado zipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afadhali mwana umejionea mwenyewe,Sema si haba najuwa kuna mengi umejifunza.Big up mkuu.
Mku natafuta nauli ya kurudi wakati kurudi ni bure ila pa kutokea ni mahakamani Kisutu.

Jilengeshe ktk Tenga la mkaburu wakupeleke Lindela Prison ukasubirie dege la umoja la kuwarudisha kwa bi mkubwa yaani bongo.

Ila nakushauri usikate tamaa kwani ninaamini hujakutana na wabongo ili wakupe issue za kufanya lakini usiishi kwa kuchagua kazi.

Ukipata kazi ya kuuza matunda au masimba chips fanya ndo mwanzo wa kupata mchango mwingine wa maana.

Niambie uko mji gani kama ninajamaa hapo watakupa pa kuanzia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Absolutely.. Yani south ndio chuo kwa upambanaji wa maisha, sasa ukifeli ukarudi bongo asee hutajuta.mi na mfano wa jamaa mmoja alirudi bongo kutok SA maisha yake kwa sasa yamekuw magumu maradufu sabab ni kwamba kule south alikuwa anapiga hela lkn starehe zinakuwa nyingi na pia alisema ukipata kazi kule hela unaiona sasa shida kwenye matumizi kama hauko makini ndio unafeli.. Sasa kuja bongo kila kazi akitafuta zinafeli hapati na hapo ndio ugumu maradufu uanzia.
Ni kweli kabisa.
Kinachowaponza watu kwenda south ile ya watu wengi kuuweka mbele America staili yaani ile kujiona kama yuko Marekani.
Hapa Afrika kuna Nchi nyingi zenye fursa nchi kama Botswana, Angola na Msumbiji kujipanga vizuri unapigia fedha kwa kwenda mbele.

Mfano Msumbiji unaweza kuanza na Mgahawa tuu unatoka kwani hawa jamaa huwa hawapikaji nyumbani pili hawajui mapishi mbona kuna wabongo hizi ndo issue zao na wako vizuri au Fundi Gereji ,Welding hizi zote zinakipato cha maana.
Kama una fedha nyingi
ukipambana kuupata uraia au kuishi kisheria Biashara ya Transport ndo iko vizuri zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaongea na
Mku natafuta nauli ya kurudi wakati kurudi ni bure ila pa kutokea ni mahakamani Kisutu.

Jilengeshe ktk Tenga la mkaburu wakupeleke Lindela Prison ukasubirie dege la umoja la kuwarudisha kwa bi mkubwa yaani bongo.

Ila nakushauri usikate tamaa kwani ninaamini hujakutana na wabongo ili wakupe issue za kufanya lakini usiishi kwa kuchagua kazi.

Ukipata kazi ya kuuza matunda au masimba chips fanya ndo mwanzo wa kupata mchango mwingine wa maana.

Niambie uko mji gani kama ninajamaa hapo watakupa pa kuanzia

Sent using Jamii Forums mobile app
mimi?
 
Maskini shibe nikajua ushaulamba huna shida kama za bongo.

Njoo sisi tushatoswa na noah zetu kwisha habari yetu.

Usishamgae ukifika ukasikia wahenga wa makinikia karibu bongo
 
Kama umeweza ku sustain huko mpaka muda huu basi endelea kukaza tu, bongo hali tete
 
Hongera kwa kujaribu maisha mkuu...safi sana...ata kama ujapata pesa lakini umepata exposure kitu ambacho ni muhmu sana kwenye maisha ukpata pesa bila exposure pia linaweza kua tatzo rudi Bongo (Tz) ukajpange utatoboa maisha vizuri tu
 
Asiyesikia la mkuu na aje! Maisha sehemu zote Duniani kwa sasa yamekuwa magumu. Hata huku Dar msije jamani watu wa mikoani maisha ya Dar ni magumu!
Na nyie WA huko Dar msije kijijini maana siku hizi ata pamba imegoma!!bakini huko huko na mkuu wenu WA mkoa mjenge "mabarabara" Tu sasa maana hakuna namna!
 
Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije

Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana wengi hasa wa Tanzania wanateseka Jamani
Sijui nisemeje, asie Sikia la mkuu basi azamie tu. View attachment 569601View attachment 569602
Wapo walio sema nimekufa Ila Mimi najichanga nirudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana, hakuna sehemu iliyobarikiwa Afrika kama South Africa brother. Maandalizi ya kuzamia ndiyo huleta image ya huko unakoenda. Soma uzi wangu na nijulishe ulipo South Africa, mtu yoyote anayetaka kuja South Africa kitu cha kwanza awe na uhakika wa sehemu ya kula na kulala mengine yatajishoosha yenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom