South Africa msije Sio kuzuri

South Africa msije Sio kuzuri

kabla ya kusoma uzi, nakupa POLE KUBWA kwanza na hongera kwa kuibuka kututoa mashaka ya usalama wako. ulipotea sana mkuu. wafuasi wako tulijawa na shauku kujua maendeleo ya safari yako maana kuna waliokujaza woga na kukukatisha tamaa. likaibuka neno na miss mmoja hapa jukwaani kwamba hukuzingatia 'RISK CALCULATION'

hatahivyo. hongera na 'PAMBANA NA HALI YAKO'
nitarudi baadae.
 
Mmmh eti sim imezima hata ile thread yako ukaanza mbwembwe mara sijui sim mara nimeibiww mara niko cape town nafanya kaz burger King naona uongo unaendlea season 2 haya twende kaz baba.
Dizain jamaa anatuingiza chaka

ngoja tuone.
 
ina maana hujui kazi yoyotete ya mikono jombaa? mwanaume unatakiwa ujue kazi zaidi ya saba ili popote uishi...ila ukiona waelemewa rudi home upambane, niliwahi kuzamia Haiti nikaona nimeingia cha kike nikarudi japo target hazikusoma huko nimerudi bongo na maisha si mabaya
 
Mbona unatutisha, wengine tuna mpango wa kuja huko!
 
Pole sana mkuu,rudi tu nyumbani, maisha yako huku,ila natumaini umeshajifunza vya kutosha.Tulikuwa tunadanganyana sana miaka ya nyuma kuwa ili utoke ni afadhali uende kuishi ughaibuni,kwa sasa hivi ni tofauti,njoo upige kazi hapa nyumbani,utatoka na maisha ni matamu ajabu.Tuna kila kitu kizuri ambacho zamani ili uvione ni lazima kwenye movie au magazeti ya nje,tuna Express commuter buses,rotating restaurants,skyscrappers,flyovers,hanging bridge,wengine waongezee...
 
Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije

Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana wengi hasa wa Tanzania wanateseka Jamani
Sijui nisemeje, asie Sikia la mkuu basi azamie tu. View attachment 569601View attachment 569602
Wapo walio sema nimekufa Ila Mimi najichanga nirudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
kweli huko hakufai mpaka simu umeazima?Rudi nyumbani sisi twakungoja mezani uje tule pamoja,wewe ni ndugu yetu,njoo nyumbani nakuomba
 
Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije

Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana wengi hasa wa Tanzania wanateseka Jamani
Sijui nisemeje, asie Sikia la mkuu basi azamie tu. View attachment 569601View attachment 569602
Wapo walio sema nimekufa Ila Mimi najichanga nirudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
hupo mji gani?na unafanya nini kwa sasa?
 
Pole sana mkuu!
Usikate tamaa, pambana!
Ukiona taabu na matezo yamezidi, ujue neema imekaribia.
 
Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije

Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana wengi hasa wa Tanzania wanateseka Jamani
Sijui nisemeje, asie Sikia la mkuu basi azamie tu. View attachment 569601View attachment 569602
Wapo walio sema nimekufa Ila Mimi najichanga nirudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umepost ukiwa kwenu Mabibo huko unatuzingua.....tutakuja tupambane, ukishindwa wewe sio kila mtu atashindwa!
 
Sio kweli haupo SA umepata rand sehemu na kuzipiga Picha wewe kila nyuzi zako ni kutunga uongo tuu hiyo rand 200 unapata Simu ya kuparaza wewe hauna Simu...endelea kudanganya Simu utahitaji msaada utakosa kwa mambo yako hayo..
 
Mkuu ungepambana kidogo. Tafuta watu wa jamii za kitanzania wanapatikana wakuoneshe michongo ila iwe ya kihalali. Ila kama ushafanya yote na ime bounce basi rudisha mpira kwa kipa Tz. Ujipange tena.
 
Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije

Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana wengi hasa wa Tanzania wanateseka Jamani
Sijui nisemeje, asie Sikia la mkuu basi azamie tu. View attachment 569601View attachment 569602
Wapo walio sema nimekufa Ila Mimi najichanga nirudi.

Sent using Jamii Forums mobile app


Mungu akujalie urudi nyumbani mkuu, mcheza kwao hutunzwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom