South Africa msije Sio kuzuri

South Africa msije Sio kuzuri

uache kikaa capetown, Durban, portelzabeth, bela-bela, empumalanga, makopane, randfontein n.k uwaze magomeni, tandale, mwenge, gongo la mboto, tandika sawa lakini dizonga achana napo
 
Katika kuhangaika na maisha, kuna wakati TV ilikufa sina hela ya kununua nyingine, kuna bibi mmoja alinipa TV yake nitumie mpaka nitakaponunu ya kwangu. TV ya bibi ilikuwa black and white. Poa mradi una watch news.

Baada ya mwaka ndiyo nilinunua TV ya rangi, matangazovya biashara ni kama nilikuwa nchi nyingine.
 
Katika kuhonga ila na maisha, kuna wakati TV ilikufa sina hela ya kununua nyingine, kuna bibi mmoja alinipa TV yake nitumie mpaka nitakaponunu ya kwangu. TV ya bibi ilikuwa black and white. Poa mradi una watch news.

Baada ya mwaka ndiyo nilikumiss TV ya rangi, matangazovya biashara ni kama nilikuwa nchi nyingine.
hueleweki au umeamka na hangover
 
huo mkono wako unalima au! na BONGO uw
Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije

Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana wengi hasa wa Tanzania wanateseka Jamani
Sijui nisemeje, asie Sikia la mkuu basi azamie tu. View attachment 569601View attachment 569602
Wapo walio sema nimekufa Ila Mimi najichanga nirudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
aambie jamaa wasije watu wanateseka sana na hasa Dar mbaki huko huko
 
KAM
Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije

Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana wengi hasa wa Tanzania wanateseka Jamani
Sijui nisemeje, asie Sikia la mkuu basi azamie tu. View attachment 569601View attachment 569602
Wapo walio sema nimekufa Ila Mimi najichanga nirudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
A HUJAFANIKIWA WEWE RUDI AU MWAMBIE ZARI WA DIAMOND NAYE ARUDI!!
 
Katika kuhonga ila na maisha, kuna wakati TV ilikufa sina hela ya kununua nyingine, kuna bibi mmoja alinipa TV yake nitumie mpaka nitakaponunu ya kwangu. TV ya bibi ilikuwa black and white. Poa mradi una watch news.

Baada ya mwaka ndiyo nilikumiss TV ya rangi, matangazovya biashara ni kama nilikuwa nchi nyingine.
Umeamka nazo?
 
mvivu unafikiri ukienda kwa madiba utatoboa tu.mwambie na ZARI kabisa arudi TANDALE Kwa DIAMOND
ZARI1.jpg
 
South ndio nchi pekee ukitaka kufungua kiwanda ukituma maombi wao ndio wanakutafuta kuhusu eneo Mitambo kama umeagiza nje wafanye utaratibu isikae bandarini ifike eneo husika kwa wakati..kuna bidhaa nyingi kuliko wanunuzi kila kukicha tunapakia tuu ila huko bongo hamna viwanda mnakamatana viboxi viwili eti risiti sijui huku unapakia contena au kushusha hakuna SARS au police atakaekusumbua maana wanajua una documents na shusha kila siku
 
Shibekijijini nilikwambia utumie shimo la kwa mzee Bombo ulime unakanitukana leo umesema ukweli, komaa huko huko.
 
South ndio nchi pekee ukitaka kufungua kiwanda ukituma maombi wao ndio wanakutafuta kuhusu eneo Mitambo kama umeagiza nje wafanye utaratibu isikae bandarini ifike eneo husika kwa wakati..kuna bidhaa nyingi kuliko wanunuzi kila kukicha tunapakia tuu ila huko bongo hamna viwanda mnakamatana viboxi viwili eti risiti sijui huku unapakia contena au kushusha hakuna SARS au police atakaekusumbua maana wanajua una documents na shusha kila siku
Sijakuelewa point yako kulinganisha na post ya mleta mada naona kama umeandka kitu tofaut na alicholeta
 
No safe place like home just come back and we Cheer u
 
Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije

Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana wengi hasa wa Tanzania wanateseka Jamani
Sijui nisemeje, asie Sikia la mkuu basi azamie tu. View attachment 569601View attachment 569602
Wapo walio sema nimekufa Ila Mimi najichanga nirudi.

Sent using Jamii Forums mobile app







KAZA BUTI mbona wabongo wengi amefanikiwau
 
Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije

Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana wengi hasa wa Tanzania wanateseka Jamani
Sijui nisemeje, asie Sikia la mkuu basi azamie tu. View attachment 569601
Wapo walio sema nimekufa Ila Mimi najichanga nirudi.

Sent using Jamii Forums mobile app

POPOTE KAMBI KAZA KAMBA UTAFANIKIWA
KUNA DOGO ALIRUDI ALIMSALITI MTU ALIE MPELEKA KWA KAZI YA KUNYOA AKAENADA KUNYOA KTK SALOON NYINGINE LAKINI ALIKUWA ANAPATA KIPATO KIZURI CHA MSINGI TAFUTA KAZI YOYOTE YA HALALI UFANYE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom