South Africa msije Sio kuzuri

South Africa msije Sio kuzuri

Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije

Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana wengi hasa wa Tanzania wanateseka Jamani
Sijui nisemeje, asie Sikia la mkuu basi azamie tu. View attachment 569601View attachment 569602
Wapo walio sema nimekufa Ila Mimi najichanga nirudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tulikueleza yote yako katika uzi wako ila ukawa unatuona mazwazwa labda tunakuonea wivu sijui utatusua.. South usiende kama huna cha kufanya utaishia kuwa punda tu
 
Pole sana, hakuna sehemu iliyobarikiwa Afrika kama South Africa brother. Maandalizi ya kuzamia ndiyo huleta image ya huko unakoenda. Soma uzi wangu na nijulishe ulipo South Africa, mtu yoyote anayetaka kuja South Africa kitu cha kwanza awe na uhakika wa sehemu ya kula na kulala mengine yatajishoosha yenyewe
Mku kuna home centre ilikuwaga hapo mitaa ya Donfontain ambayo imewasaidia sana watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudi Home Kiongozi Shibe
Huku Tanzania Rais Kaifanya Nchi Iwe Ya Asali Na Maziwa Yaani Standard Gauge Railway Imeshaanza Kujengwa Ofisi Zao Zipo Shaurimoyo
Mwaka 2019 Mwezi Wa 11 Tarehe 01
Nahamia Morogoro Nafanya Kazi Dar Unapanda Treni


Fikiri Mimi Masikini Uvivu Wangu Nyumbani **
Njoo Home
 
Nakupongeza Sana Kutoa Mrejesho Tena Yakiwa Yamesemwa Mengi Sana
Tanzania Iko Poa Hakuna Milima Wala Mabonde
Nchi Ya Asali Na Maziwa 😵
 
Shibe Kijijini, uliondoka kwa mbwembe na Majigambo mengi, nakumbuka ulisema ni Bora kuwa Mfungwa South kuliko kuishi Bongo, vipi majigambo yamekwisha na leo umepakumbuka Nyumbani.....!!

Amaa kweli nimeamini msemo wa Wazungu usemao HOME SWEET HOME...!! Ama.. Go East go West but home is the Best...!!

Bongo bahati mbaya....huku nako KIMENUKA....!!

Bora ubaki huko huko...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulikwambia....shibekijijin....baki shamba ule Dona kwa aman....ukabisha.....komaaa mwanaume natesoooooo.......matesooooooooo......kuangaikaaaaaaa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulikwambia....shibekijijin....baki shamba ule Dona kwa aman....ukabisha.....komaaa mwanaume natesoooooo.......matesooooooooo......kuangaikaaaaaaa....

Sent using Jamii Forums mobile app

Shibe Kijijini, uliondoka kwa mbwembe na Majigambo mengi, nakumbuka ulisema ni Bora kuwa Mfungwa South kuliko kuishi Bongo, vipi majigambo yamekwisha na leo umepakumbuka Nyumbani.....!!

Amaa kweli nimeamini msemo wa Wazungu usemao HOME SWEET HOME...!! Ama.. Go East go West but home is the Best...!!

Bongo bahati mbaya....huku nako KIMENUKA....!!

Bora ubaki huko huko...

Sent using Jamii Forums mobile app
Napingana sana na mawazo yenu kwa kuangalia upande mmoja wa ndugu yetu, mimi maandalizi niliyafanya kwa muda mrefu sana. Mambo muhimu niliyoyafanyia uhakiki kabla ya safari ni haya:
A: Je mwenyeji wangu ni mkweli au tapeli (hii ilijumuisha kumuomba anipe details mbalimbali kama vitambulisho, picha on the spot, pia age alivyokuwa nayo ilinifanya nimuamini zaidi)
B: Wakati nachati na yeye aliomba contact za Watanzania walioko South Africa ili kunitoa wasiwasi na mimi nikampatia contact za jamaa yangu mwenyeji wa Maswa aliyekuwa rafiki yangu kupitia facebook, alimtafuta na jamaa akafika hadi kwa huyu mama na kunisihi nisepe faster Kutoka Tz kwani alijilizisha kuwa hakuna longolongo.

South Africa hasa Joburg si sehemu salama kama huna pa kufikia pia mimi niko mbaaaaaaali na Joburg hivyo sijui hata mishe mishe za huko tofauti na kupita tu kama nisivyoifahamu DAR kuliko Zanzibar maana Dar nilikuwa napita tu nikienda Zenj.
Wito wangu kwa wazamiaji wote wanaotaka kuja South Africa, waje wakiwa na uhakika wa asilimia 99% kuwa ni wapi unafikia.
 
Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije

Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana wengi hasa wa Tanzania wanateseka Jamani
Sijui nisemeje, asie Sikia la mkuu basi azamie tu. View attachment 569601View attachment 569602
Wapo walio sema nimekufa Ila Mimi najichanga nirudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ugumu unakuja sababu vijana weng waliopo south weng wao hawajasoma wameishia std 7 sasa usitegemee kupata kaz ya maana sana sana utaambulia kubeba mizigo angalau kidogo uwe unakipaji labda fundi ..kingne kinachowaalibu watz weng hawana mioyo ya kusaidiana wanachukiana wenyewe kwa wenyewe hawasaidian kama raia wa nchi zingne pia wamezid kuvuta bangi sana na kuziuza na usela umezid ...maisha kote magumu usiwakatishe wengne moyo Maisha ni kujaribu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije

Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana wengi hasa wa Tanzania wanateseka Jamani
Sijui nisemeje, asie Sikia la mkuu basi azamie tu. View attachment 569601View attachment 569602
Wapo walio sema nimekufa Ila Mimi najichanga nirudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuji wewe rudi tunakusubiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom