

teh uzi wako watu walifikia hatua ya kugombana duh!pole rudi tu uuze haat kisamvu mkuu
Una maneno weye! Eti auze kisamvu 😵
Acha uoga wa maisha, mi mwenyewe na ufalme wangu mwezi wa 12 nakuja,itakavyo kuwa na iwe.
Sent using Jamii Forums mobile app




Kuna jamaa yangu kajilipua yupo huko ni miez miwili sasa, nilichogundua pia usipo kuwa na mwenyeji huko utapata shidaNi Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije
Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana wengi hasa wa Tanzania wanateseka Jamani
Sijui nisemeje, asie Sikia la mkuu basi azamie tu. View attachment 569601View attachment 569602
Wapo walio sema nimekufa Ila Mimi najichanga nirudi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mamwendo kasiPole sana mkuu,rudi tu nyumbani, maisha yako huku,ila natumaini umeshajifunza vya kutosha.Tulikuwa tunadanganyana sana miaka ya nyuma kuwa ili utoke ni afadhali uende kuishi ughaibuni,kwa sasa hivi ni tofauti,njoo upige kazi hapa nyumbani,utatoka na maisha ni matamu ajabu.Tuna kila kitu kizuri ambacho zamani ili uvione ni lazima kwenye movie au magazeti ya nje,tuna Express commuter buses,rotating restaurants,skyscrappers,flyovers,hanging bridge,wengine waongezee...
IPO lazma fani anashindwa hata kuomba ugardnerMKUU, INA MAANA HATA KAZI YA KUTUNZA BUSTANI HUJAPATA?
ILA ID YAKO INAKUDIRECT SEHEMU INAYOKUFAA.. KIJIJINI
HALAFU KAMA UMESHNDWA KUTUSUA SOUTH, BONGO NDO UTAPOTEA JUMLA
ya mkaa ama umeme????