Hospitali ya kitengo hiyo ipo miaka nenda rudiHii mzena imeibuka mwaka huu tu lkn bado mnaifuta ya nini? Sitaki hata niisikie
Ukishakuwa kwenye oksigen ni kudra za mwenyezi Mungu ku surviveSofia alikuwa kwenye oksijeni, RIP.
Ukishakuwa kwenye oksigen ni kudra za mwenyezi Mungu ku survive
Uongo wangu nini maana case za wengi ku survive huwa ndogo hata kwa ndugu yangu ilitokea baada ya kuwekwa humo na hakutoka salama hata kwa hawa wa covid asilinia kubwa tuUongo huo unafanya ndugu walazimishe madaktari kutokuwapa wagonjwa wao oxygen. Eti oxygen inaua... Ni UONGO. Oxygen kwa kiwango anachopewa mgonjwa hospitali hawezi kuua.
Aisee kweli Delta yamoto maana mtu hujui kama kesho utatoboaSofia alikuwa kwenye oksijeni, RIP.
Uongo wangu nini maana case za wengi ku survive huwa ndogo hata kwa ndugu yangu ilitokea baada ya kuwekwa humo na hakutoka salama hata kwa hawa wa covid asilinia kubwa tu
Mbona marehemu alikuwa mweupe hivyo kweli ni familia ya Nyerere OG au akina Steve Nyerere?
Kwa hiyo weupe wa dukani.Kama una pesa za kununulia, unaweza kuwa hata za zambarau.
Apumzike kwa amani 🙏🏽Sophia Nyerere, ambaye ni Mjukuu wa Baba wa Taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere, amefariki dunia leo Jumanne katika Hospitali ya Mzena mkoani Dar es Salaam, alipokuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu. Marehemu Sophia ni Mtoto wa John Nyerere.
View attachment 1870276