Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,206
- 33,223
Aliegundua huu ugonjwa alituweza hata upone,usijiamini sana,,rejea yule mama wa kilimanjaroApumzike kwa amani. Nakumbuka mwaka jana alipost picha akiwa hospitali akasema amepata changamoto ya upumuaji lakini anaendelea vzr, akapona kabisa. Mwaka huu ameugua tena na kuondoka. Mwenyezi Mungu amrehemu.