Mchana
Senior Member
- Sep 27, 2007
- 183
- 16
naomba mniwie radhi wakuu kama kumbukumbu yangu itakuwa sio nzuri. Nilishaona sehemu fulani humuhumu JF kuwa matokeo ya kuungua soko Mbeya huwa yanatanguliwa na ajali ya ndege. Na juzi kulikuwa na ajali ya ndege.... Na hii ni mara kama ya tatu hivi ambapo kumeshakuwa na matukio hayo yakiwa yanaambatana, yaani ajali ya ndege kwanza kisha moto..... imekaajae hii wakuu?