Wadau nimepigiwa simu sasa hivi kwamba soko maarufu la Mwanjelwa, mkoani Mbeya aka Jiji la Mbeya, eneo la SIDO karibu na uwanja wa ndege, sasa hivi linaungua moto. Chanzo hakijajulikana. Hii itakuwa ni mara ya pili baada ya lile la kwanza kuungua miaka michache iliyopita. Mwenye habari au aliye karibu na tukio atujulishe tafadhari. Nawasilisha