Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Na mamlaka za mkoa na mji zinasubiri Waziri mkuu aje aunde Tume?Limekaa miaka mingi hadi watu wamesahau kama kulikuwa na soko.
Na mamlaka za mkoa na mji zinasubiri Waziri mkuu aje aunde Tume?Limekaa miaka mingi hadi watu wamesahau kama kulikuwa na soko.
Pale pangekuwa pakubwa ningeshauri wajenge mall kama mlimani cty
Nimecheki soko la kariakoo Kwa mwaka 2019/2020 mapato ilikuwa 3.3 billion Hilo la mbeya haliwezi kuwa na mapato zaidi ya soko kuu la kariakooUsifananishe mikoa. Ukiangalia lile jengo la Kariakoo lililoungua na soko la pale mjini kati, unaweza kuta mapato ya lile soko la Mbeya yalikuwa makubwa zaidi.
Hiyo imetoka Kariakoo yote au humu tu.Nimecheki soko la kariakoo Kwa mwaka 2019/2020 mapato ilikuwa 3.3 billion Hilo la mbeya haliwezi kuwa na mapato zaidi ya soko kuu la kariakoo
Yeah humu tuHiyo imetoka Kariakoo yote au humu tu.
View attachment 1999733
Umeniwahi mkuuUnapaswa ujue kutofautisha mlima na kichuguu...
Au mpaka leo hujajua Dar ndio Tanzania?
Hahaha ila mimi sio "mkuu" mini ni "babu" vipi kipenzi, Bado unadeka?Umeniwahi mkuu
Wewe ni mkazi wa mbeya?Hapo sido kila siku linaungua mpaka tumezoea yani kila mwisho wa mwaka lazma liungue
Mimi si mkazi wa kudumuWewe ni mkazi wa mbeya?
soko lililoungua Mwanjerwa wakinga wakalia sana baada ya paka wao kuungulia kwenye maduka, lilishajengwa soko jipya la Mwanjerwa. Sido pia iliungua, na pale sido panaitwa Soko la Makala. ni soko gani la mbeya unaloliongelea nje ya maeneo hayo? kama unaijua mbeya.Hii imekaaje. Ni kwamba serikali inafanya miradi yake kwa upendeleo?
waachie watu wa mbeya waongee, wewe huijui mbeya. acha uchochezi wa kijinga.Mimi si mkazi wa kudumu
Acha ukabila wewe, kariakoo ndio soko mama la mazao toka mikoa yote ya Tanzania, utalinganisha na soko la mkoani?Hii imekaaje. Ni kwamba serikali inafanya miradi yake kwa upendeleo?
Hahahah kwahio kama nimeshuhudia kwa vipindi tofauti bado haitoshi mpaka niwe mkazi?waachie watu wa mbeya waongee, wewe huijui mbeya. acha uchochezi wa kijinga.
ni soko gani la mbeya lililoungua na halijajengwa unaloliongelea. hebu taja.Hahahah kwahio kama nimeshuhudia kwa vipindi tofauti bado haitoshi mpaka niwe mkazi?
Soko la Mbeya linaunguaga frequentlyni soko gani la mbeya lililoungua na halijajengwa unaloliongelea. hebu taja.
soko lipi? mbeya kuna masoko mengi hebu taja hilo unaloongelea.Soko la Mbeya linaunguaga frequently
Sido specificallysoko lipi? mbeya kuna masoko mengi hebu taja hilo unaloongelea.
sido liliungua kipindi Makala akiwa Mkuu wa Mkoa, nilikuwa kule mbeya kipindi hicho, na walijenga pakaitwa soko la makala hadi leo. lini liliungua tena hilo soko la sido?Sido specifically
Before hio awamu lishaunguaga mzee fatilia vyemasido liliungua kipindi Makala akiwa Mkuu wa Mkoa, nilikuwa kule mbeya kipindi hicho, na walijenga pakaitwa soko la makala hadi leo. lini liliungua tena hilo soko la sido?