Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,473
- 19,268
kabla ya awamu hiyo liliungua la mwanjerwa na ndio lile jengo la gorofa lilijengwa kwa bilioni 16, though watu walipigapiga hela na Majaliwa kipindi cha jpm alishaenda kuwachachafya pale. naona unaleta uchochezi kwa serikali tu hauna hoja yeyote kwasababu haujui kabisa kinachoendelea mbeya.Before hio awamu lishaunguaga mzee fatilia vyema