Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,204
- 12,696
Hii imekaaje. Ni kwamba serikali inafanya miradi yake kwa upendeleo?
Mbeya sehemu gani? SIDO imejengwa hadi tumesahauHii imakaaje. Ni kwamba serikali inafanya miradi yake kwa upendeleo?
Unapaswa ujue kutofautisha mlima na kichuguu...Hii imakaaje. Ni kwamba serikali inafanya miradi yake kwa upendeleo?
Soko la mbeya na soko la kariakoo ni vitu tofauti mnooooHii imakaaje. Ni kwamba serikali inafanya miradi yake kwa upendeleo?
Utofauti wake nini?Soko la mbeya na soko la kariakoo ni vitu tofauti mnoooo
Hatuzungumzii Kariakoo yote. Unaweza ukakuta mapato ya lile jengo lililoungua yalikuwa yanapitwa na soko la uhindini Mbeya.Soko la mbeya na soko la kariakoo ni vitu tofauti mnoooo
Soko la mjini kati.mbeya sehemu gani? SIDO imejengwa hadi tumesahau
Yan anataka kufananisha mbeya na daslama ?...aiseeUnapaswa ujue kutofautisha mlima na kichuguu...
Kwani mbeya zinaishi nyani?yan anataka kufananisha mbeya na daslama ?...aisee
yan anataka kufananisha mbeya na daslama ?...aiseeUnapaswa ujue kutofautisha mlima na kichuguu...
mkuu ikifika siku ukaelewa kuna levels na hakuna usawa duniani utapiga hatua...hakuna mkoa wa kufananisha na daslama Tanzania...Kwani mbeya zinaishi nyani?
Zitakuwa tetesi tu, Chief ni feminist mkubwa sana na mtu wa maridhiano. Sidhani kama anaweza kuwa na bifu na Tulia. Labda kama Tulia awe amemkosea sana.mtoa uzi anazungumzia soko la uhindini mbeya ambalo lipo katikati ya jiji mkabala na NMB Mbalizi road . karibu na ofisi nyeti.
kwa sasa lina tumika kama car parking.. ila nmeona building plan yake..
litajengwa kubwa kuliko hata hilo la dar.. kuna video na attach hapa.
ingawa tetesi ni Kuwa Chief Ha--nga-- Yaaa... hapatani kabisa na mbunge Betina.. ndiyo maana Mbeya imelala hoii kwa sasa
Usifananishe mikoa. Ukiangalia lile jengo la Kariakoo lililoungua na soko la pale mjini kati, unaweza kuta mapato ya lile soko la Mbeya yalikuwa makubwa zaidi.yan anataka kufananisha mbeya na daslama ?...aisee
Yan iko hivi , kwa mfano tu mipango ya sugu kuwa mbunge mbeya ilianzia dar, na mipango ya dr tulia kuwa mbunge wa mbeya pia ilianzia dar mkuu haon kama kuna namna ? Tanzania nzima kuna machinga ila machinga wa dar ndio serikali itawasikiliza kwanza unafikiri kwa nini ?...mipango ya hii nchi inaanzia dar sijapanga mimi ila ndio hali halisiYaani huyu haelewi achana nae! Yaani Dar ndo Tanzania yaani hapa Tanzania dar ndo kiini cha nchi! Yaani kwa taarifa yako nyinyi mbeya hamuwezi kuwa kipao mbele kama Dar na Mwanza mpaka mwisho wa dunia!
sawayan anataka kufananisha mbeya na daslama ?...aisee
mkuu ikifika siku ukaelewa kuna levels na hakuna usawa duniani utapiga hatua...hakuna mkoa wa kufananisha na daslama Tanzania...
we had tunakufa haiwezekani...hakuna soko litazid mapato kariakoo mzee, vitu vinavyouzwa mwanjelwa na sido vimetoka kariakoo aiseeUsifananishe mikoa. Ukiangalia lile jengo la Kariakoo lililoungua na soko la pale mjini kati, unaweza kuta mapato ya lile soko la Mbeya yalikuwa makubwa zaidi.
Again, usiiangalie Kariakoo yote. Kariakoo yote haikuungua.we had tunakufa haiwezekani...hakuna soko litazid mapato kariakoo mzee, vitu vinavyouzwa mwanjelwa na sido vimetoka kariakoo aisee
Soko la Mbeya lipo eneo ambalo viongozi wanalitaka na ndicho chanzo cha kutojengwa.Hii imakaaje. Ni kwamba serikali inafanya miradi yake kwa upendeleo?
mkuu ivi umeshawah kwenda kusurvey pale ? naongelea pale pale na sio kariakoo nzima...mkuu uje ufananishe na mwanjelwa kweli ?Again, usiiangalie Kariakoo yote. Kariakoo yote haikuungua.