Soko la Karume lateketea kwa moto usiku

Soko la Karume lateketea kwa moto usiku

aiseeee kama n michezo laaana hii haitawaacha mpaka kaburin ila ka n kweli jah bless
 
Unafikiri kwa kutumia makalioo wewe ! Au ata ujasiriamali aukusoma ata kidogo we unadhani wanapenda warundikane sehemu moja au wanafata wateja wao.

Wateja hufata bidhaa, unaonesha una matatizo ya ilm. Huwezi kumuuzia kitu mtu asichokihitaji.

Si unaona ma shopping complex mpaka Mlimani huko na watu wanayafata hukohuko kutoka kila sehemu ya nchi.

Usiwe punguani. Unapoanza kupeleka kila bidhaa kwa mteja basi ujuwe unayaua masoko. Soma!
 
Huyo mtu ni muongo tena ni fataani, mzandik na hafai kabisa, hakuna Serikali inayoweza kuteketeza mali za raia zake kwa moto. Ili ipate faida ipi?

Juzi serikali hiyohiyo imeharibu sehem za watu kwenye biashara zao,kupitia polisi na mgambo,kuna watendaji wana akili mbovu sana,
wale mgambo na polisi pale kariakoo nimewah kuwashuhudia wakivunja vyombo vya mama ntilie,ila sufuria la mchuzi na samaki wamelibeba,na mama lishe hawakumchukua,je SHERIA inasemaje hapo ukht?
 
And that is what i know from my brain council. Ni wapuuzi wachache kutoka Lumumba watakaopinga hili.

Lumumba ndipo sera za kuendesha nchi hii zinakopangwa, na huko hakuna sera ya kuwasha moto au upiganaji, hizo sera za Ufipa.

Hawa watu wamepatwa na majanga ni wakati muafaka kuwafariji kwa lugha safi na kutazama namna ya kuwasaidia, si kuwatumia wahanga kueneza siasa chafu.

Misukule fungukeni vichwa vyenu japo kiduchu.
 
Poleni sana ndugu zangu wamachinga,mambo yote muachieni Mungu.
ILA nashangaa kwenye huu uzi siwaoni wazee wa lumumba kutoa pole,MSALANI,Ritz,Mwanadiwani,Iferwoo,Lizaboni...nk

wanacheki upepo baada ya gemu lao kufanikiwa watakuja mwishoni.
 
Juzi serikali hiyohiyo imeharibu sehem za watu kwenye biashara zao,kupitia polisi na mgambo,kuna watendaji wana akili mbovu sana,
wale mgambo na polisi pale kariakoo nimewah kuwashuhudia wakivunja vyombo vya mama ntilie,ila sufuria la mchuzi na samaki wamelibeba,na mama lishe hawakumchukua,je SHERIA inasemaje hapo ukht?

Umeshaambiwa usiweke biashara yako sehemu fulani, wewe unaendelea kuiweka unategemea nini?

Hao wa Karume sijasikia wakiambiwa wahame, na kama walitakiwa wahame na wakakaidi wangefanyiwa kama hao wengine na si kuchomewa moto, fikiri japo kidogo.
 
Habari wana Jamii Forums,.

Nitangulize Pole kwa wafanyabiashara wa soko la Karume kwa Janga la moto lililowapata,.

Habari za kusikitisha ni kwamba Soko La Wafanyabiashara Karume Ilala Limeteketea kwa moto na kwa hali halisi mali nyingi za wafanyabiashara zimeteketea kwa moto unaosadikiwa kusababishwa na moto uliokuwa ukiivisha maharage ili asubuhi yakutwe yamekwisha iva.

Wakuu matukio kama haya yanashika kasi sana kwani siyo mara ya kwanza, Soko la Sido mbeya na mengine mengi yameteketea kwa moto na mali zenye thamani kubwa.

Inasemekana zimamoto lilifika eneo la tukio lakini hawakuweza kufanya lolote kwani hakukuwa na cha kuokoa.

Wafanyabiashara wengi katika nchi yetu wanafanya biashara katika risk kubwa sana hasa kuhusiana na masuala ya mlipuko wa moto.

Wafanyabiashara wengi sasa wako dilemma kuhusiana na hasara waliyoipata.

Je serikali ina mpango gani na hawa walipa kodi ambao serikali imeshindwa kuwaboreshea mazingira yao?

Nawasilisha,..
 
I have a suspicious feelings that ze market is purposeful burned down to move the bussiness people to the complex building...Ilala municipality can be responsible in this because if they are not involved why fire emergenc didnt respond quickly until the whole market is completly down. Why if one of the bakhresa premise alert for fire we see lots of fire cars emergence pass on the other side of road try to respond quiclky???this is not a proper way of pushing people to the new place of business, think about their income,family and children...for real i have right to speak for them abd one day my suspission will become reality....i appologise for the broken english but it pained me to the extent that my tongue stacks to let out swahil words 😒😒😏
 
kama hawakuwa na insurance inakula kwao,hapa serikali isihusishwe kabisa
 
We tatizo lako ni moja uko too generalisation hivi kwa akili yako unaweza linganisha shopping mall kubwa na wale petty entrepreneurs ambao mtaji wao aufiki even 5000Usd ? Na hili lipo kila mahala duniani wish umeshatembea na umeona mengi even Uingereza siyo watu wote watanunua bidhaa katika malls za cheshire or sheraton ila kuna sehemu ya watu wa chini according to their amount. Mi nasoma na Mungu akijalia mwakani ntarudi kupiga kura kuondoa mdudu ccm.

Wateja hufata bidhaa, unaonesha una matatizo ya ilm. Huwezi kumuuzia kitu mtu asichokihitaji.

Si unaona ma shopping complex mpaka Mlimani huko na watu wanayafata hukohuko kutoka kila sehemu ya nchi.

Usiwe punguani. Unapoanza kupeleka kila bidhaa kwa mteja basi ujuwe unayaua masoko. Soma!
 
Umeshaambiwa usiweke biashara yako sehemu fulani, wewe unaendelea kuiweka unategemea nini?

Hao wa Karume sijasikia wakiambiwa wahame, na kama walitakiwa wahame na wakakaidi wangefanyiwa kama hao wengine na si kuchomewa moto, fikiri japo kidogo.

twende taratibu,hao wanaokatazwa kufanya biashara hayo maeneo yaliyokatazwa sheria ndo inasema wavunjiwe vitu vyao au waporwe???na vikiporwa vinapelekwa wapi?binafs nilishawai kumuuliza mpaka Meya wa Ilala,alikosa jibu,na nilishawai kuwauliza wachuuz wa kariakoo wakasema mgambo huchukua,unless wakatoe rushwa ndo hurudishiwa,then umetoa Mfano wa mlimani city hapo juu,,,,huwez fananisha na biashara za wamachinga,mfano manispaa ya Kinondon inasema imetenga eneo mabwepande,sasa mtu atoke mjini akanunue soksi au begi mabwe???,
Soko la Karume,wamachinga walishawai kuambiwa wahame,ule mzozo wa kuhama ulikuwepo muda mrefu,ila miaka 2-3 hivi ndo umepoa,baada ya usanii wa MACHINGA COMPLEX
 
hahahahahaha unataka kusema wametengeneza mchongo
 
Dah kweli serikali imeamua kushughulikia wamachinga...poleni sana kwa dhuluma hii lkn chozi lenu lilipwe
 
Umafia wa ccm nimeanza kujua nikiwa bado mtoto till now nimekuwa so nachukulia kama ni jambo ambalo halina utofauti na sakata la kuteswa Dr Ulimboka , kuvamiwa kwa mwandishi wa habari na kuuliwa kwa Mwanahabari kule Iringa .

Lumumba ndipo sera za kuendesha nchi hii zinakopangwa, na huko hakuna sera ya kuwasha moto au upiganaji, hizo sera za Ufipa.

Hawa watu wamepatwa na majanga ni wakati muafaka kuwafariji kwa lugha safi na kutazama namna ya kuwasaidia, si kuwatumia wahanga kueneza siasa chafu.

Misukule fungukeni vichwa vyenu japo kiduchu.
 
Back
Top Bottom